Analojia rahisi kwenye hili ni kufananisha Strait ya Hormuz kama mto mdogo wa kijijini ambao 30% ya maji tunapata hapo. Maji haya ndio kiungo muhimu katika shughuri za kila siku za kijiji chetu. Sasa, kuna bwana anyekaa huko kwenye chanzo cha mto aliweka bayana kabisa kuwa ataufunga mto kama...
The midnight of June 19, 2025, TikTokers are on the edge of a digital guillotine in the U.S., facing a ban unless President Donald Trump waves his executive wand yet again. The app, a virtual playground for more than 170 million Americans, is caught in a geopolitical tug-of-war, with its Chinese...
The old-time banker who’s seen corporate wallets swell and shrink, has thrown shade at Tanzania’s new 10% tax on retained corporate earnings, a levy that’s hitting profits previously left untouched for reinvestment, unlike dividends, which already faced the taxman’s grip.
Bankers like him...
Niliona hatari ya huduma hii tangu ilipoanza.
Ninawashauri Vodacom na watoa huduma wengine kuongeza kipengele cha kuwasilisha madai katika migogoro ya namana hii.
Wakati mtu anarudisha muamala unaoshukiwa au anafanya hivyo kwa sababu ya ulaghai. Watoa huduma wanatakiwa kuzuia muamala kwa pande...
Sidhani kama dhumuni la kuanzisha chuo ni kuja kuwa kiwanda, huku ni kuchanganya siasa kwenye taaluma za watu. Sioni kama DIT wanauwezo wa kinyenzo, eneo na nguvu kazi kuanzisha kiwanda cha vipuri vya kuhudumia taifa zima.
Kama kweli Waziri anania ya kuanza kuvuna ujuzi na taaluma ya chuo hicho...
Kila mtu ana ajenda yake, ya muda mfupi na mrefu. Chunga sana usijaribu kujipa umuhimu kwa mtu ambaye hujui ajenda zake.
Unaweza kuwa muhimu katika ajenda ya sasa ya muda mfupi, lakini haufai kwa ijayo au malengo yao ya muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.