Mimi binafsi nimejiunga Twitter July 2012 pia niliona nimechelewa kujiung,so kuhusu twitter kuwepo hiyo 2012 hilo limejibiwa.
NB Twitter ilianza 2006 Na kufikia 2012 ilikuwa ni social.media.ya pili Kwa ukubwa baada ya facebook ikiwa Na watumiaji karibu milioni 200
1 mil capital 167,200
Above 1 mil to 5mil 247,200
Above 5mil to 20 mil 332,200
Marekebisho kidogo ktk Bei Za brela Kwa kurejea mtaji uliandikwa ktk memart
Shaaban Roberts - Adili Na Nduguze.
Siwezi sema kimebadilisha Maisha yangu ,Ila muandishi anaweza,natamani wengine pia wapate utamu wa fasihi ya kiswahili
Miongoni mwa wapambe wa Lissu ni Msigwa na Dr Slaa ,inashangaza.
Nimemsikia Mbowe emesema hatakuwa na shida na hata acha kusaidia chama ikiwa Lissu atashinda.
Kura zitakuwa za wazi kwanini wapambe wa Lissu mnaogopa hili,kwanini mnataka Lissu apite bila kupingwa?
An interested observer
Huko hamuombi kupitia mtandao,hata kama manual kama attachment ya marekebisho mkirejea na ikaonyesha kosa lilikuwa kwao huwa hualipi tena. Utalipaje marekebisho wakati aliyekosea ni afisa wao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.