Jaman samahanini nimechaguliwa saut mwanza na udsm sasa bahati mbaya kunakosa limefanyika nimeconfirm vyuo vyote hvyo katika kutafuta suluhisho nikawa awapigia sim saut wani unconfirm na nimetuma ujumbe kwenye email yao ya kuwajulisha kua nimeconfirm chuo kingine ndicho nitakachoenda lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.