Jamani niliaply second round MUCE,DUCE ,UD ,UDOM na private saut na rucu iringa juz majna yametoka lakin nikawa sjachaguliwa vya selikali ila rucu ndo wakawa wamenichagua mpaka Jana vyuo vya selikali walikua hawajanichagua na account ya ud na udom walikua walikua wananiambia not selected
nikaamua kucorfim Rucu
but Leo nimeingia ud kwenye account yangu wakanambia you have selected MUCE bachelor of art with education sasa nisha cornfim rucu iringa ila nataka kwenda MUCE nifanyeje wakubwa
mawazo yenu tafadhali
nikaamua kucorfim Rucu
but Leo nimeingia ud kwenye account yangu wakanambia you have selected MUCE bachelor of art with education sasa nisha cornfim rucu iringa ila nataka kwenda MUCE nifanyeje wakubwa
mawazo yenu tafadhali