Mi cjaelewa na hizo hoja za kuhusu muungano, eti mchanga ulichanganywa halaf ukafanyiwa nini?, huo si ni uganga na Tanzania c wote tunao amini uganga na uchawi, vya kuuimarisha muungano siyo matambiko wala kafara, ni matarajio ya wananchi kwenye muunganio, faida za muungano ni kwenye ulimwengu...
"Nakuomba sana usiingize DINI harakaharaka angalia pande zote vaa na wewe uhusika uone kama wewe ndo ungekuwa Nyerere ungemtendeaje Rafiki yako Dhidi ya ADUI yake????."
Jamana watu mmeomba historia, mtu anaelezea jinsi anavyoelewa anakosolewa, ungeleelezea wewe basi kama vip.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.