Vita kubwa kati ya mbunge wa viti maalum na naibu waziri Dr Mary Mwanjelwa na Naibu Spika Tulia Ackson. Dr Mwanjelwa anamshtuma Tulia Ackson kuwa kaanza kampeni za uchaguzi mapema na kuleta mpasuko kwenye jimbo lake.
Dr. Mwanjelwa kawepa bayana kuwa Tulia Ackson anakiuka sheria za chama lakini...
Fitina zilizoiua Fast Jet sasa zimehamia kwa Precision Air. Precision Air wamepata vikwazo vingi pale uwanja wa Mwl. Julius Nyerere na kuamua kuhamishia Base ya KIA.
Hakuna nchi ulaya iliyokataa kufanya kazi na Huawei kuhusu 5G, UK wamekubaliana kutumia non-core 5G equips. Nchi zilizokataa kabisa kufanya kazi na Huawei ni US, Australia, New Zealand, Canada bado hawajaafikiana na Huawei. Nchi za Ulaya zimepewa mpaka June wawe wamepeleka findings zao EU.
So...
Angalia hapo kwa miaka 5 iliyopita. https://www.google.com/amp/s/talksport.com/football/525568/top-50-average-football-attendances-in-the-world-in-the-last-five-years-including-manchester-united-barcelona-and-borussia-dortmund/amp/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.