Mbwa wanachukuliwa kama kitoweo nchini Korea Kusini. Biashara ya nyama ya mbwa inajumuisha mbwa milioni 1, migahawa 6000 na asilimia 10 ya wakazi wanatumia kitoweo hicho.
Mbwa wanachukuliwa kama kitoweo nchini Korea Kusini. Biashara ya nyama ya mbwa inajumuisha mbwa milioni 1, migahawa 6000 na asilimia 10 ya wakazi wanatumia kitoweo hicho.
Kujichua(Masturbation) ni kosa nchini Indonesia na adhabu yake ni kukatwa kichwa.
===================================================
Indonesia: decapitation
Most search results would have you believe that "the penalty for masturbation in Indonesia is decapitation". But hold your … er … horses...
Madaktari wanaume nchini Bahrain hawaruhusiwi kuyaangalia maeneo nyeti ya wanawake na kama ni kuyachunguza basi huyachunguza kwa kuangalia kwenye kioo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.