Recent content by simplee_tz

  1. S

    Unafanya nini mbwa wako kuwa mkali

    Na mbwa tunaowaona sana mtaani je wanaitwaje??
  2. S

    Umewahi kumkomoa msichana wakati wa kufanya mapenzi?

    Mimi nakumbuka mwaka Jana kuna Dada mmoja wala ckumpenda Ila nilimtamani tu kwa shepu yake.. Siku nimemuita sikutaka kujishusha weee alivyotoka pale aliniambia ndo nimezidi kukupenda.. Mpaka Leo ndo mtu wangu na tuna mwaka na amenifanya mpaka Mimi nimpende sana wakati nilimtamani... #Show nzuri...
  3. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asante mkuu nimekuelewa mkuu
  4. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jaman me mgeni.. Humu.. Naomba maelekezo humu wakuu
  5. S

    Hizi ni Sababu kwanini Scotland Yard na FBI hawana uwezo wa kuchunguza Kushambuliwa Tundu Lissu

    Yaan wewe mtoa hoja kweli mbulula ww unataka kufananisha bongo sawa na marekani?? Hv uoni ata magari yetu upande wa dereva wa Tz na USA wanatofautiana.. yaan bongo kanchi kadogo sana wakija wale ata mwez awamalizi.. inchi ya magu ni madudu matupu ndo maana wanaogopa
  6. S

    Kujiunga live YouTube

    Swadakta mkuu hapo hapo ndo nataka hivyo mkuu
  7. S

    Kujiunga live YouTube

    mkuu inakuja hivyo
  8. S

    Kujiunga live YouTube

    Kwa nini sio kweli
  9. S

    Adsence nyingine tofauti na Google!

    Uh Facebook unapigaje pesa bro
  10. S

    Kujiunga live YouTube

    Kila kitu tayari account iko verify na kitiki juu
  11. S

    Kujiunga live YouTube

    Mkuu ninao wengi tu zaidi ya hao
  12. S

    Kujiunga live YouTube

    Ndiyo mkuu nina subscribe 1200 huko
  13. S

    Kujiunga live YouTube

    Habari wakuu.. nina YouTube channel sasa naitaji kwenda live kupitia video mfano kama baadhi ya channel za online muda mwingine unawakuta live wamejiunga na TBC wengine live wameweka bongo movie.. sasa ni njia gani wanatumia kujiunga hivyo.. msaafa wakuu tafadhari
  14. S

    Crack file ya Adobe premier pro cc 2017 inahitajika

    Una shilingi ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    Adsence nyingine tofauti na Google!

    Hivi ata YouTube inafanya kazi hii? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom