Recent content by Simple lady

  1. S

    Mishahara wa Community Development Officers TPDC

    najua hilo ni swali mojawapo kwenye interview ndio maana nimeuliza
  2. S

    Mishahara wa Community Development Officers TPDC

    Jamani mbona sijajibiw swali langu plz
  3. S

    Mishahara wa Community Development Officers TPDC

    nliomba na nmeitwa interview
  4. S

    Mishahara wa Community Development Officers TPDC

    Nmeomba nafasi hyo na nmeitwa interview
  5. S

    Mishahara wa Community Development Officers TPDC

    Habari wana jf,naombeni kujua mishahara ya hawa community development officers tpdc ni kiasi gani na vipi maswali wanayouliza?
  6. S

    Nafasi za kazi NMB Eastern Zone

    jamani naombeni mnitupie na mimi judithmyenzi@yahoo.com
  7. S

    Anayefahamu Mishahara ya FINCA International

    Nataka niapply niliona tangazo lao la kazi feb 12 2014 au deadline imepita?
  8. S

    Anayefahamu Mishahara ya FINCA International

    hapana niliona tangazo lao la kazi nataka niombe
  9. S

    Anayefahamu Mishahara ya FINCA International

    Habari wana JF, Naombeni anayefahamu mishahara ya loan officers FINCA International, Natanguliza shukrani
  10. S

    ULEMAVU WA kuipenda DAR ES SALAAM KWA WASOMI KIKWAZO CHA KUKOSA AJIRA

    Problem ukienda kuomba kazi huko unakosema unaambiwa ss hatuajiri,waajir wapo dar ndiko makao makuu mi npo Mbeya nmeomba kazi mpaka nmechoka sn km unaweza kunisaidia nikupe namba yangu plz
  11. S

    Msd mbeya

    Jamani wana jf naombeni msaada,nilisikia hawa watu wametoa nafasi za kazi kwa anaejua plz
  12. S

    Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

    Waulize wanandoa
Back
Top Bottom