Sio kwa wanawake tu hata wanaume kuna siku mwili huwa unakua haupo sawa yaani unakuwa hautaki kusumbuliwa na hasila za karibu... kwa uchunguzi wangu nikagundua sababu ya kwanza kwa wadada ni kukaribia kwa siku zao sababu nyingine ni mwili unahic vitu ambavyo macho na akiri yako haiwezi kuvitambua
Waambie watafute muda waongee wao amweleze vitu ambavyo havipend but ww ukiwa unakwenda kumueleza matatizo yake ambayo yanafanyika kwenye faragha zao unakosea sana maana jamaa atajiuliza mengi.. wameongea hayo tu....KAMA HAUWEZ KUJISIMAMIA WEWE HAKI UTAKUWA UNAISIKIA TU
Ni kutokana na mtoto umleavyo na iman ni kitu pekee kinachoweza kubadili kutoa kuwa kujumlisha ukimlea vizur na kumjenga kuwa jasir na asiye kubar kushindwa kilahic anakua hi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.