Recent content by simon mtindi

  1. S

    Is G spot a myth?

    Hiyo kitu ipo
  2. S

    Kwa nini wanawake hununa bila sababu ya msingi?

    Sio kwa wanawake tu hata wanaume kuna siku mwili huwa unakua haupo sawa yaani unakuwa hautaki kusumbuliwa na hasila za karibu... kwa uchunguzi wangu nikagundua sababu ya kwanza kwa wadada ni kukaribia kwa siku zao sababu nyingine ni mwili unahic vitu ambavyo macho na akiri yako haiwezi kuvitambua
  3. S

    Naomba msaada wenu jamani katika ushauri, mimi nimeshindwa

    Waambie watafute muda waongee wao amweleze vitu ambavyo havipend but ww ukiwa unakwenda kumueleza matatizo yake ambayo yanafanyika kwenye faragha zao unakosea sana maana jamaa atajiuliza mengi.. wameongea hayo tu....KAMA HAUWEZ KUJISIMAMIA WEWE HAKI UTAKUWA UNAISIKIA TU
  4. S

    So, so very painful

    If your not goiog to fight for what u want no one will fight for u
  5. S

    Je! kuna uhusiano wa akili (intelligence) ya mama na mtoto?

    Ni kutokana na mtoto umleavyo na iman ni kitu pekee kinachoweza kubadili kutoa kuwa kujumlisha ukimlea vizur na kumjenga kuwa jasir na asiye kubar kushindwa kilahic anakua hi
  6. S

    Unajua kwanini wadada wengi hupenda mabwana wa Kisukuma?

    Kama wanahonga harafu famillia zao zinaendelea sio mbaya wapo poa sana
  7. S

    Nahisi kudata

    Sema mdomo ni mzito ukifika kwa wadada ongea upate msaada wazuri wengi sana..
  8. S

    Navutiwa na mwanamke anayevaa underskirt

    Utakuwa unamatatizo harafu hizo kitu bado zipo
Back
Top Bottom