Recent content by simon msuya

  1. S

    B12, DJ Fetty na Adam Mchomvu Wameenda Magic FM

    Tunataka taarifa kamili ,tetesi hapana!
  2. S

    Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

    Ucwashangae hao wanaofurahi kwa sabab ni kawaida yetu watz kuombeana njaa wanafurahi pale tu mtu anapokuwa chin akipanda juu fitna nyingi
  3. S

    Tusiende Sombetini

    Unamaanisha hicho chama chako mnatumia mizengwe kushinda kwenye chaguzi mbalimbali au unamaanisha nini unaposema CCM waende mahali ambapo wananchi wanaweza kuzuiwa kwenda kwenye uchaguz au mahali ambapo mshind anaweza kutangazwa kwa dharura embu mjipange bana bado mnaweza but mnamizengwe xana
  4. S

    Waziri wa Elimu, ingilia kati hili swala la shule ya sekondari Olasiti Arusha

    Hii ndiyo nchi yetu ya tz ;;eti wanasema elimu bure hii ndiyo elimu ya bure???
Back
Top Bottom