Recent content by Simon Adebisi

  1. Simon Adebisi

    Ajira portal hawajamuita mtu interview kimakosa afanyeje

    Hawa mbona hawatoi location ya oral interview na imebaki siku moja??
  2. Simon Adebisi

    Muda wa kulala huu, tushirikishane, unalala na nani na wapi leo?

    Tuko dodoma hapa jiji limepoa kulala na mito tu basi
  3. Simon Adebisi

    Je, kuna nchi inazidi China kwa miundombinu ya kuvutia?

    China wanajenga bararabara kwa kasi Hadi Google maps wanashindwa kuupdate kila siku.. Switzerland pia wako vizuri kwa public transport
  4. Simon Adebisi

    Kijiwe cha bodaboda Vingunguti mataa hakina bodaboda kijana, wote ni over 40. Jamaa wana roho mbaya sana

    Hizo nshu kila kijiwe chenye Hela zipo yani. Waliosajili kijiwe hawataki members wapya
  5. Simon Adebisi

    Range Rover ikizeeka inakonda

    My dream car. Napenda sana range za zamani
  6. Simon Adebisi

    Nauza YouTube Channel yenye 210,000 Subscribers - TSH Mil 1 Tu!

    Hiyo ni lifetime earnings ila katuambia ni one week sijui
  7. Simon Adebisi

    Tutegeme Live Streamers kuongezeka mara dufu Afrika baada ya Tour ya IShowSpeed

    Hivi waziri wetu mpya wa vijana ameshaambiwa vijana tz wanahitaji PayPal??
  8. Simon Adebisi

    KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

    Jue nawezaje kupata statement ya kuthibitisha kuwa nimelipa
  9. Simon Adebisi

    Ipi ni AI nzuri kutumia kati ya Deepthink na ChatGPT?

    CHATGPT ni nzuri ila hata Claude wako poa pia
  10. Simon Adebisi

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hawanyooshi maelezo shida sijui nn
  11. Simon Adebisi

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwa hiyo imetoka au bado
Back
Top Bottom