Recent content by Simon Adebisi

  1. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Ndani ya wiki Moja Toka atoke mkoa wao kuja kufanya kazi mkoa wetu alikua ameshasafiri kwa ungo kwenda kusalimia kwao usiku mara tatu... Tulikuja kujua baada ya kukamatwa na kuombewa sana na baba mchungaji siku ya jumuiya nyumbani
  2. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Hivi huu mkeka kwa waliotwa oral Bado hazijatoka??
  3. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa suluhisho la Uvimbe kwenye Ovary

    Tiba ya hii kitu Bado?
  4. Simon Adebisi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana kuweni makini usiloweka kama hujacheki afya na huyo Binti usidanganywe na uzuri wa njee

    Nimelowrka juzi kati maua lodge mbagala kule... Ile k ilkua tight kuliko kawaida
  5. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Ajira portal hawajamuita mtu interview kimakosa afanyeje

    Hawa mbona hawatoi location ya oral interview na imebaki siku moja??
  6. Simon Adebisi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muda wa kulala huu, tushirikishane, unalala na nani na wapi leo?

    Tuko dodoma hapa jiji limepoa kulala na mito tu basi
  7. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Je, kuna nchi inazidi China kwa miundombinu ya kuvutia?

    China wanajenga bararabara kwa kasi Hadi Google maps wanashindwa kuupdate kila siku.. Switzerland pia wako vizuri kwa public transport
  8. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Kijiwe cha bodaboda Vingunguti mataa hakina bodaboda kijana, wote ni over 40. Jamaa wana roho mbaya sana

    Hizo nshu kila kijiwe chenye Hela zipo yani. Waliosajili kijiwe hawataki members wapya
  9. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Range Rover ikizeeka inakonda

    My dream car. Napenda sana range za zamani
  10. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Nauza YouTube Channel yenye 210,000 Subscribers - TSH Mil 1 Tu!

    Hiyo ni lifetime earnings ila katuambia ni one week sijui
  11. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Tutegeme Live Streamers kuongezeka mara dufu Afrika baada ya Tour ya IShowSpeed

    Hivi waziri wetu mpya wa vijana ameshaambiwa vijana tz wanahitaji PayPal??
  12. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania KERO Ukiwa na mkopo Songesha hupati mkopo benki

    Jue nawezaje kupata statement ya kuthibitisha kuwa nimelipa
  13. Simon Adebisi

    JamiiForums Tanzania Ipi ni AI nzuri kutumia kati ya Deepthink na ChatGPT?

    CHATGPT ni nzuri ila hata Claude wako poa pia
Back
Top Bottom