Sio muda Wa kubishania pesa tunajua matibabu yanagharimu pesa nyingi mno cha msingi mgonjwa apone pesa ni kitu kinatafutwa Ila uhai Wa MTU ukitoka ndo basi tena .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyenzi Mungu mwingi Wa Rehema tunakushukuru kwa kila jambo kwa kuwa wewe no mtetezi Wa wanyonge tunaendelea kumweka mikononi mwako mh Tundu Lisu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ufupi kumkamata MTU kila wakati na vyombo vya habari kutangaza ni kumfanya huyo mtu awe maarufu sana kama ingewezekana wange waacha hao Chadema wafurukute mwishowe wangetulia wenyewe tu kuliko kuendelea kuwakamatakata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.