kaka kesi yako na yangu zinafanana hadi nukta,yaani nashindwa kuelewa maana chuo kingine ambacho inadaiwa kuwa nimechaguliwa sijakijua na jina halipo kwenye vile vyote nilivyoapply
Wakuu,nimepitia majina ya udsm,japo yapo kwenye blogs tu,hayapo kwenye official website ya chuo kuna kozi nyingi za sayansi hazipo,hili limekaaje wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.