Recent content by Simion Eliufoo

  1. S

    Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    Mtoa post, kama prof kitila mkumbo,mama Anna mgwira na wengineo waliosoma mwenge sekondari watakuona basi tafuta ngao ya kujilindia
  2. S

    Anayesomea clinical medicine anaweza kuja kusomea degree ya medicine?

    Samahani mkuu naomba kuuliza,mshahara wa clinical officer ni kiasi gani
  3. S

    Kuhusu confirmation code kutoka TCU

    ndio mkuu nimechaguliwa Muce ila Leo nimeingia tena kwenye profile yangu nimekuta wamesha-confirm tayari
  4. S

    Kuhusu confirmation code kutoka TCU

    kaka kesi yako na yangu zinafanana hadi nukta,yaani nashindwa kuelewa maana chuo kingine ambacho inadaiwa kuwa nimechaguliwa sijakijua na jina halipo kwenye vile vyote nilivyoapply
  5. S

    Multiple selection second round

    Sasa mkuu mbona wanasema mwisho kuapply third round ni Leo inakuaje sasa na majina mengine bado hayajatoka
  6. S

    Multiple selection second round

    Karibu account zote naona status haijabadiika na hakuna mabadiliko yoyote mpaka sasa
  7. S

    USHAMBA WA FIRST YEAR VYUONI

    Hahaha wivu unakupa tabu sana
  8. S

    USHAMBA WA FIRST YEAR VYUONI

    Exactly mkuu,darasa la dhahabu hili,mambo mengi huwa yanaanzia kwetu
  9. S

    Mjikumbushe Mzumbe High School

    Una kumbukumbu aisee,though nimegraduate miaka mitatu iliyopita ila nshaanza kusahau vingi,tuliishi katika hard transition period ya Mzumbe
  10. S

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    Wakuu,nimepitia majina ya udsm,japo yapo kwenye blogs tu,hayapo kwenye official website ya chuo kuna kozi nyingi za sayansi hazipo,hili limekaaje wakuu
  11. S

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    Na kwa waliochaguliwa single selection wanatoa lini,naomba unijuze kama unafahamu ndugu
  12. S

    Msaada kuhusu hii BVM

    Nashukuru sana mkuu,wewe ulisoma comb gani na kama ni PCB wanaweza kuchukua mwisho ngapi maana nasikia mostly ni wenye div 1
  13. S

    Msaada kuhusu hii BVM

    Namaanisha unaweza kulinganish ugumu wa bvm na PCB au PCM kwa advance?
Back
Top Bottom