Kuhusu confirmation code kutoka TCU

Kuhusu confirmation code kutoka TCU

Hata ikipatikan haipokelewagi iyo... Tafut tu unaemfaham dar aende tcu,, tatizo lako litatatuliwa
tatizo sina ndugu yeyote huko may be wewe kwa ubinadam wako uvae uhusika huo ili unisaidie
 
Mda mwingine dhambi ya uongo huwa inatuadhibu hapahapa duniani, wewe angalia Title ya thread na kilichoandikwa si dhambi hii.
 
namba haipo naambiwa ivyo
Hakuna mbongo anaekosa ndugu dsm...kwanini usirahisishe zoezi akaenda kukujazia hatakama upo mwisho wa reli. Hembu mtafute ndugu yako hata kama yupo mkuranga adamke asubuhi na mapema ofisi za Tcu akakujazie hio fomu. Watanzania mambo mengine tuwe serious tuache ubishi..#Kila la kheri
 
habar wakuu,Mimi nilichaguliwa selection ya pili nkwawa kama direct yaan nilpata chuo hcho tu na nilipoangalia kwa wale waliotoka kwenye multiple sikuwepo na profile zoote za vyuo nlivyoomba zilionesha kuw ckuchaguliwa isipokuw udsm campus ya MUCE .lakin cha kushangaza Leo nimeingia kwenye akaunt yangu ya udsm eti inaonesha kuwa nmechaguliwa chuo zaid ya kimoja na sasa inatakiwa codes ili niweze Ku komfirm.sasa najiulza Kuwa nawezaje kukomfirm wakat nmechaguliw chuo kmoja na system inataka nicomfirm?msaada wakuu mana Milo Mkoan huku sielew nifanyeje
kaka kesi yako na yangu zinafanana hadi nukta,yaani nashindwa kuelewa maana chuo kingine ambacho inadaiwa kuwa nimechaguliwa sijakijua na jina halipo kwenye vile vyote nilivyoapply
 
kaka kesi yako na yangu zinafanana hadi nukta,yaani nashindwa kuelewa maana chuo kingine ambacho inadaiwa kuwa nimechaguliwa sijakijua na jina halipo kwenye vile vyote nilivyoapply
kwan na ww umechaguliwa MUCE maana kuna watu kama 3 HV wte wa MUCE raund ya pili wanatatzo kama hili.ebi tujuzane katka hili
 
Hayo ndio madhara ya kutokujiamini. Chagueni chuo kimoja muachane na hizo adha!
 
UDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:

Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.


UDOM FIRST YEAR

Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.
Unalipwa nini
 
UDOM FIRST YEAR 2018/19 WHATSAPP GROUP:

Kama umechaguliwa Kujiunga na masomo katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) bofya link hapo chini tukutane pamoja ili tuweze kusaidiana Mambo mbalimbali muhimu unayotakiwa kuyajua wakati unaenda kuripoti UDOM.


UDOM FIRST YEAR

Saidia kusambaza Link ili kuwafikia walengwa.
HIZO NI SHOBO KIWANGO CHA SGR
 
Wadau naomba msaada wenu cz nimem2ma m2 tcu lkn mpk dk hii cjaona code tangu j3 hadi leo alhamic alaf jina langu halipo kweny multiple but nimechaguliwa vyuo viwili
 
Wadau naomba msaada wenu cz nimem2ma m2 tcu lkn mpk dk hii cjaona code tangu j3 hadi leo alhamic alaf jina langu halipo kweny multiple but nimechaguliwa vyuo viwili
Kesi yako kama yangu nasubiri watoe raundi ya 3 labda nitaona tofauti
 
Back
Top Bottom