Hello Mkuu
Kuhusu barabarani ipo inayofika hadi kwenye viwanja.
Umeme na maji pia yapo 2.5km.. Ila ni sehemu inayokua hivyo haitakuwa taabu huduma kufika kwenye makazi.
Note ;Eneo lipo 2.5 kutoka barabara ya rami.
Aksante
Asante mkuu.
Kwasasa haitakuwa rahisi tena kupima eneo kwa mtu binafsi kama tulivyofanya sisi hadi Mh. Waziri atakaposema vinginevyo.
Sisi pia tulutamani kufanya project kama hizi nyingi ila haitawezekana kwasasa.
Kama nilivyoleta uzi huu kuwa taratibu za kupima zikichukua mzunguko mrefu...
Habari zenu wadau
Niliwahi leta uzi kuhusu project ya viwanja na leo nimeleta mrejesho kuwa Mungu mwema mradi umekamilika na vipo sokoni.
Uzi wa zamani unaweza kuuvuta hapa.
Mradi wa upimaji viwanja-Mkuranga
Pata viwanja vya makazi, makazi biashara na biashara.
Vipo Kutonga wilaya ya...
Hello Rene
Kwa sasa hatuna kampuni sisi ni watu binafsi.Tuna ndoto za kufungua kampuni ili tuwe formal zaidi.
Asante
QUOTE=Rene Jr.;14760505]Safi sana, kampuni yenu inaitwaje?
Heshima mbele wana JF,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa maada katika jukwaa hili,Kwa sasa nimeona vyema kurudi jamvini kueleza maendeleo ya project yangu na inaweza kusaidi kupata msaada mkubwa wa mchango kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo na pia watu wanaweza kujifunza...
Wapendwa nimeamua kuendelea na wazo la kuanzisha sekondari ingawa ni nimenunua wazo la chuo bado nalifanyia kazi.
Kwa sasa ninaendelea na project ya kupima eneo langu ambalo pamoja na viwanja vya makazi na makazi/biashara pia nimeweka shule ya sekondari.
Mauzo ya hivi viwanja yatawezesha...
Asanteni wadau #Dzudzuku #Connections #magnificient #percival #zavi #Cyberteq #lady furaha #Babu kizee #papa yna #dibundile na #Sam Love
Asanteni na naendelea kupokea mawazo, muwe na muda mwema.
Hello #Chasha ,
Asante kwa updates,
Nilikuwa natamani kufahamu gharama za wao kuwaleta kwa ng'ombe mmoja na kama inawezekana kupata contacts zao.
Asante mkuu.
Mimi nadhani #Binary ameeleza alichokutana nacho kama mteja ambacho watu wengine pia kinawatokea.. Hiz huduma za Simbanking,nmb mobile na zinginezo ni nzuri maana zinasaidia kuokoa muda kwa kufanya mihamala bila kwenda benki ila zinapaswa ziboreshwe.
Wateje warejeshewe fedha zao kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.