Kuelekea 2015: Ni Mbio Za Magari Kati ya Mkweche na Mashine Mpya!

Wanabodi,
hivyo mshindi wa jumla wa urais 2015, ataendela kuwa ni CCM!, "Unless Otherwise!". Huu ndio ukweli mchungu!.

Chadema inayo nafasi ya kushinda kama itakubali "to do things right", kwa sasa kupitia M4C, Chadema, inafanya kazi nzuri ya kuwaamsha Watanzania kujua haki zao!, yaani "is doing the right thing!". Lakini ili chama kipya kiweze kuking'oa "chama kubwa", "chama kongwe" madarakani na kuingia Ikulu, "doing the right thing" peke yake hakutoshi!, it got to do "things right", kitu ambacho sikioni Chadema kufanya mpaka sasa,hivyo kila mara nimekuwa nikiwashutumu kuwa "Chadema Haijajipanga!" na labda kwa vile mimi sio mmoja wao, inawezekana kabisa wakawa wanajipanga, kimya kimya, ndani kwa ndani, ili siku ya siku wakiibuka, ni surprise attack au "ambush" ya "funika bovu!" moja kwa moja hadi Magogoni!, hiyo ndio ile "unless otherwise!", lakini kwa hapa tulipo kuelekea 2015, Watanzania (kama mandondocha vile), tutaendelea kuichagua CCM kwa mazoea!.

Siasa ni kama barabara ndefu, mbovu na ya kona kona, milima, mabonde, mashimo na makorongo!, vyama ni kama magari, wanachama ndio abiria, na viongozi wa vyama ndio madereva!. Kuelekea 2015 ndio safari yenyewe. Kwa huku bara, mchuano ni kati ya CCM, (gari kongwe, injini kongwe chovu, lakini dereva mzoefu, aliyeisha izoea hiyo barabara, miaka nenda, miaka rudi, hivyo anajua aendesheje, wapi apunguze mwendo na wapi aende kasi, wapi kuna korongo wapi kuna bonde, wapi kuna konakali na wapi kuna mlima, etc,etc!) na Chadema (gari mpya na injini bomba ina kasi kupita ule mkweche ila ina dereva mpya ambaye hajui sana hiyo njia!, kazi ya dereva mpya ni kutimua mbio tuu na kututimulia vumbi!, na kuendesha kwa kasi ili awahi kufika!, kutokana na kutojua vizuri njia, japo anakwenda kasi zaidi, kwa kuipita gari kongwe kwa mbali ambayo ni spana mkononi, mara kibao hujikuta anapotea njia, hivyo kulazimika kurudi nyuma na kuendelea na safari!.

Kwenye hii scenario, huyu dereva mpya anayo nafasi ya kushinda, sio kwa kitimua mi mbio tuu, bali endapo atakubali kuelekezwa kuhusu hiyo njia na wazoefu, au kuwasikiliza baadhi ya abiria wake wazoefu ambao wameishaipita njio hiyo mara nyingi ndani ya ule mkweche, au kutusikiliza sisi watazamaji wa mchuono huo ambao sio abiria wa gari yoyote, ila tuko humo njiani kwa muda mrefu, tunapoona dereva mpya anakosea, huwa tunampungia ishara kuwa huko siko!, au kumpa ishara ya hatari ya mbele, lakini dereva huyu, kutokana na kuhamanika na ushindi, na kelele za chagizo za wale abiria wake ambao wanashangilia ushindi njia nzima kwa morali ya hali ya juu, dereva hasikii wala ishara za hatari hazioni, yeye ni mwendo mdundu kuelekea mwisho wa safari kwenye ushindi tuu!.

Safari ya kuelekea 2015 ndio hii inaendelea, sasa hivi tuko half way!, bado hakuna dalili za dereva mpya kujifunza!, nasikia kutafanyika zoezi la kubadilishana madereva baadae mwaka huu, hebu na tusubirie timu mpya tuone kama kuna mabadiliko!, na hata kama ikirudi timu ile ile, basi ni lazima ibadilike! kama itaendekeza uendeshaji ule ule, basi ni hakika bila mashaka yoyote, mshindi ataendelea kuwa yule yule, dereva bingwa mwenye gari bovu!, yaani yule yule mwenye ule ule mkweche!.

Kwa maoni yako, katika hii safari ya kuelekea 2015, jee dereva mpya, mwenye gari mpya, mashine bomba ambaye hajaizoea njia, anaweza kumshinda dereva mkongwe, mzoefu wa safari, mwenye gari bovu, na mkweche?!.

Wito wangu kwa wapenda mabadiliko wote!, fuatilieni kwa makini hii trend iliyopoi sasa!, 2015 msije kushangaa!.

Wasalaam.

Pasco.

Kwa ajili ya reference, inaweza pia kupitia hizi threads.

  1. CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!
  2. Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
  3. Yametimia!, CCM Imechokwa!, Chadema Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni ...
  4. CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
  5. Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!
Mwaka 2015 ndio huu, sasa Chadema imepata dereva mzoefu anayeijua njia, na CCM iko vile vile na ule mkweche wake!, there is no way CCM inaweza kushinda!, unless ni by means of hooks and crooks!.
Pasco
 
Mkuu wangu,
Unategemea Pasco ataishauri chadema mazuri ya kufanya? Labda kama silver hair atatoswa huko magambani.
Mkuu Mkeshaji, hili ulilisema on 8th February 2013 07:45, ni kweli limetokea, swali ni jee katika huu muda mchache uliobakia, utakubaliana na mimi kuwa niliishauri vizuri Chadema kuhusu kupata dereva mzoefu?!.

Pasco
 
Chadema inayo nafasi ya kushinda kama itakubali "to do things right", kwa sasa kupitia M4C, Chadema, inafanya kazi nzuri ya kuwaamsha Watanzania kujua haki zao!, yaani "is doing the right thing!"

mkuu pasco kwenye bold shauri hivyo vitu vya kufanya
Mkuu nyabhingi, tulishauri na moja ya ushauri huo ilikuwa ni kupatikana kwa dereva mzoefu aliyeizoea hiyo njia, baada ya kupatikana dereva mzoefu, safari ya ushindi ilikuwa iwe rahisi sana kama abiria wenye basi hili walikuwa wanaelekea mahali pamoja, yaani wako safari moja!, lakini kumejitokeza tatizo jingine kuwa sio abiria wote kwenye gari hili wako safari moja, kumza baadhi ya abiria kulisimamimisha simamisha hili gari njiani, lengo la kusimama simama njiani lilikuwa ni kusomba abiria, lakini gari letu, japo linasomba, kuna abiria wanaoshuka na ikitokea tukachelewa kufika, hawa abiria wanaoshukia njiani, ndio wanaochelewesha safari!.

Pasco.
 
Pasco, unatumia akili nyingi na mbinu nyingi kuiokoa CCM, hata hivyo, hutafanikiwa
Shemeji Mikael P Aweda, jee ni kweli hili ni bandiko la kuokoa CCM?!.

CCM haiponi 2015. Hakuna cha gari bovu wala jipya. Chadema tumeibiwa kura 2010, ule uzoefu unatosha kutufundisha jinsi ya kulinda kura zetu kwa kutumia nguvu ya umma 2015 bila kujali kuna katiba mpya au chakavu NA bila kujali kutakuwa na tume huru au tume mfungwa. You should get this right by now - watz wamechoka vyakutosha kaka. .
Ilikuwa ni miaka, ikaja miezi, zikaja mawiki, sasa ni tunahesabu siku tuu!.

Jumapili njema.

Pasco
 
We pasco vipi wewe? Cdm iache harakati? Unaelewa vizuri wimbi la mabadiriko linapokuja? Jitathimini mwenyewe ulipokuwa na umri wa miaka 18 na leo uwezo wako wafanana? Acha kutukatisha tamaa, mimi nina umri wa miaka 76 nimeichoka CCM ile mbaya! Acha umagamba wako, hakuna marefu yasonancha. 2015 nakuhakikishia ccm nje na CHADEMA MAGOGONI.
Mkuu Havizya, ukinisoma tena hapa kwa kituo labda sasa utanielewa kama nilikuwa nawakatisha tamaa ama nawapa angalizo?!.

Hili la kuniita magamba kwangu ni tusi!.

Pasco
 
Mkuu Pasco, hapa u've got a point.

Kwa mtizamo wangu mimi mtu wa kijijini na maeneo mengi ya vijijini ninayofika ni ukweli usiopingika kwa CCM imechokwa kabisa, watu wako tayari kuchagua jiwe kuliko CCM. Pia ukiachilia mbali mambo ya dereva kutokuwa na uzoefu, CHADEMA pia bado haina watu wa KUPOKEA ushindi kutoka kwa wananachi walioikataa CCM. Je CDM ina uongozi gani ngazi za chini utakaosimamia zoezi la kupitisha wagombea??? CDM ina uongozi gani ngazi za chini utakaosimamia vetting ya wanaotaka kugombea??? Ukweli ni kwamba huku ngazi za chini CDM haijajipanga kabisa. Kuna kila dalili ikawa kama miaka mingine ambapo CCM inaweka mgombea wake na pia inaweka mgombea mwingine kupitia CDM ambaye anajitoa dakika za mwisho na kuiachia CCM ushindi wa bure. Hapa nazungumzia ngazi ya udiwani na ubunge wa majimbo ya vijijini. Kwa mtazamo wangu kinachoipa CCM ushindi hata wa wizi ni kitendo cha kusimamisha mgombea katika kila KATA, mgombea huyu wa udiwani anapoomba kura anamuombea mbunge wake na RAIS wake. Na ndio siri ya ushindi wa CCM, hata mgombea wao asipofika kuomba kura, mgombea udiwani atamuombea kura au hata kuonyesha picha yake. Hii ndio GRASSROOT APPROACH, kama CHADEMA hawatajikita kwenye hii approach kwa kuweka misingi ya uongozi imara UNAOWAJIBIKA NA KUSIMAMIWA, sio huu wa sasa wa watu WALIOJIWEKA wenyewe na hawawajibiki kokote, katika ngazi kuanzia kata ushindi 2015 ni wao wa bure. Muda bado upo kwa CDM kuchukua nchi kiulaini kama itajipanga.

Mkuu Ulukolokwitanga, kuna ukweli fulani umeusema hapa, ninauona!.

Pasco
 
Lowassa ana timu kubwa sana ndani ya CCM ambao kwa sasa wanasikilizia ashinde ili waungangane nae; ambao wanaitwa 'wazoefu' katika uongozi!! Sasa ukiwa na kina F.Sumaye, Marsha akina Guninita etal ambao washamfuata mh.Lowassa na wakija hao waliobak na hawa wa Ukawa wasio na 'uzoefu' naona mfumo utakuwa uleule watu walewale, badiliko ni kubadili chama.
 
Wanabodi,

Habarini za Asubuhi!

Mwaka huu, 2013, safari ya kuelekea 2015 ndio hii iko midway, hivyo sio vibaya tukianza ubashiri wa awali wa mwisho wa safari utakuwaje kufuatia trends fulani fulani zinazoonekana sasa. Authority ya trends hizi ni mimi mwenyewe ambaye nimeripoti chaguzi 4 zilizopita kama reporter, lakini kwa uchaguzi huu wa 2015, nitauripotia sio kama ripota tena, nimeshastaafu, bali sasa naripoti kama mtazamaji, nikiwa nje ya newsroom.

Lengo la thread hii, ni kutoa angalizo, kwa baadhi yetu ambao ni wapenda mabadiliko, wamehamanika sana na mabadiliko, 2015, hivyo hii itawasaidia kujiandaa kisaikolojia kwa lolote kinyume cha matarajio yao, hivyo matokeo yoyote yanakuwa na less impact kwao!.

Nlishawahi kusema huko nyuma kuwa CCM imechokwa na siku zote inashinda sio kwa sababu inapendwa sana!, la hasha!, CCM inashinda kwa mazoea tuu!. Kwa trend ninayoina sasa, as of now!, uchuguzi ukiitishwa leo, ni CCM ndio itakayoshinda!. Hivyo kama ni CCM now!, why not CCM 2015?. Nimeisha andika makala zangu mbalimbali kwa nini 2015 ni CCM tena. Pia nimeshasema Chadema, ndio nuru mpya, ndio tegemeo jipya na ndicho chama kinachopendwa zaidi kwa hivi sasa kuliko chama kingine chochote!. Mategemeo ya washabiki na wapenzi wa Chadema, ni kuina inaingia ikulu, 2015!. Kuna "Great Expectations, ya 2015 ni Chadema!", haya ni matumaini, "hopes!, ila matumaini sio lazima yawe ndio reality!, ukweli ni mwingine!. Sasa huu ninauandika humu sasa, ndio ukweli wenyewe, uhalisia wa mambo!. Kufuatia CCM kuchoka mpaka basi kwenye baadhi ya maeneo, Chadema hata wakisimamisha jiwe, jiwe litachaguliwa, hivyo Chadema itavuna idadi kubwa ya wabunge wengi zaidi huku bara, na kufuatia ndoa yake na CCM, CUF itapoteza baadhi ya majimbo, kufuatia baadhi ya wanachama wake, kumridhia huyo bwana wao mpya CCM, hivyo mshindi wa jumla wa urais 2015, ataendela kuwa ni CCM!, "Unless Otherwise!". Huu ndio ukweli mchungu!.

Chadema inayo nafasi ya kushinda kama itakubali "to do things right", kwa sasa kupitia M4C, Chadema, inafanya kazi nzuri ya kuwaamsha Watanzania kujua haki zao!, yaani "is doing the right thing!". Lakini ili chama kipya kiweze kuking'oa "chama kubwa", "chama kongwe" madarakani na kuingia Ikulu, "doing the right thing" peke yake hakutoshi!, it got to do "things right", kitu ambacho sikioni Chadema kufanya mpaka sasa,hivyo kila mara nimekuwa nikiwashutumu kuwa "Chadema Haijajipanga!" na labda kwa vile mimi sio mmoja wao, inawezekana kabisa wakawa wanajipanga, kimya kimya, ndani kwa ndani, ili siku ya siku wakiibuka, ni surprise attack au "ambush" ya "funika bovu!" moja kwa moja hadi Magogoni!, hiyo ndio ile "unless otherwise!", lakini kwa hapa tulipo kuelekea 2015, Watanzania (kama mandondocha vile), tutaendelea kuichagua CCM kwa mazoea!.

Zile umati za watu kwenye maandamano au kwenye mikutano, sio kura!, nimeisha waambia Chadema humu kwa nini hawatashinda urais 2015 na nini cha kufanya, lakini nimeishia kutukanwa tuu "wee gamba!", mimi nasisitiza kuendelea kusema ukweli no matter what. Let them call me what they may, ila ikifika 2015 mtayaona na baada ya hapo tutaanza kuheshimiana!.

Siasa ni kama barabara ndefu, mbovu na ya kona kona, milima, mabonde, mashimo na makorongo!, vyama ni kama magari, wanachama ndio abiria, na viongozi wa vyama ndio madereva!. Kuelekea 2015 ndio safari yenyewe. Kwa huku bara, mchuano ni kati ya CCM, (gari kongwe, injini kongwe chovu, lakini dereva mzoefu, aliyeisha izoea hiyo barabara, miaka nenda, miaka rudi, hivyo anajua aendesheje, wapi apunguze mwendo na wapi aende kasi, wapi kuna korongo wapi kuna bonde, wapi kuna konakali na wapi kuna mlima, etc,etc!) na Chadema (gari mpya na injini bomba ina kasi kupita ule mkweche ila ina dereva mpya ambaye hajui sana hiyo njia!, kazi ya dereva mpya ni kutimua mbio tuu na kututimulia vumbi!, na kuendesha kwa kasi ili awahi kufika!, kutokana na kutojua vizuri njia, japo anakwenda kasi zaidi, kwa kuipita gari kongwe kwa mbali ambayo ni spana mkononi, mara kibao hujikuta anapotea njia, hivyo kulazimika kurudi nyuma na kuendelea na safari!.

Kwenye hii scenario, huyu dereva mpya anayo nafasi ya kushinda, sio kwa kitimua mi mbio tuu, bali endapo atakubali kuelekezwa kuhusu hiyo njia na wazoefu, au kuwasikiliza baadhi ya abiria wake wazoefu ambao wameishaipita njio hiyo mara nyingi ndani ya ule mkweche, au kutusikiliza sisi watazamaji wa mchuono huo ambao sio abiria wa gari yoyote, ila tuko humo njiani kwa muda mrefu, tunapoona dereva mpya anakosea, huwa tunampungia ishara kuwa huko siko!, au kumpa ishara ya hatari ya mbele, lakini dereva huyu, kutokana na kuhamanika na ushindi, na kelele za chagizo za wale abiria wake ambao wanashangilia ushindi njia nzima kwa morali ya hali ya juu, dereva hasikii wala ishara za hatari hazioni, yeye ni mwendo mdundu kuelekea mwisho wa safari kwenye ushindi tuu!.


Safari ya kuelekea 2015 ndio hii inaendelea, sasa hivi tuko half way!, bado hakuna dalili za dereva mpya kujifunza!, nasikia kutafanyika zoezi la kubadilishana madereva baadae mwaka huu, hebu na tusubirie timu mpya tuone kama kuna mabadiliko!, na hata kama ikirudi timu ile ile, basi ni lazima ibadilike! kama itaendekeza uendeshaji ule ule, basi ni hakika bila mashaka yoyote, mshindi ataendelea kuwa yule yule, dereva bingwa mwenye gari bovu!, yaani yule yule mwenye ule ule mkweche
!.
Kwa maoni yako, katika hii safari ya kuelekea 2015, jee dereva mpya, mwenye gari mpya, mashine bomba ambaye hajaizoea njia, anaweza kumshinda dereva mkongwe, mzoefu wa safari, mwenye gari bovu, na mkweche?!.

Wito wangu kwa wapenda mabadiliko wote!, fuatilieni kwa makini hii trend iliyopoi sasa!, 2015 msije kushangaa!.

Wasalaam.

Pasco.

Kwa ajili ya reference, inaweza pia kupitia hizi threads.

  1. [h=3]CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga![/h]
  2. Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi![FONT=arial, sans-serif][FONT=Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif]
    [/FONT]
    [/FONT]
  3. [FONT=arial, sans-serif][FONT=Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif]Yametimia!, CCM Imechokwa!, Chadema Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni ...
    [/FONT]
    [/FONT]
  4. [FONT=arial, sans-serif][FONT=Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif]CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
    [/FONT]
    [/FONT]
  5. [FONT=arial, sans-serif][FONT=Verdana, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif]Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...![/FONT][/FONT]
Ndugu zangu,
Haya ni maoni/maono ya mwaka 2013.Leo 2015 miaka miwili kinatokea hiki tunachokiona sasa!Niwemeka makusudi rangi nyekundu ili msomaji usome na kutafakari haya yanayoendelea sasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Sina la ziada.
 
Wanabodi,

Habarini za Asubuhi!

Mwaka huu, 2013, safari ya kuelekea 2015 ndio hii iko midway, hivyo sio vibaya tukianza ubashiri wa awali wa mwisho wa safari utakuwaje kufuatia trends fulani fulani zinazoonekana sasa. Authority ya trends hizi ni mimi mwenyewe ambaye nimeripoti chaguzi 4 zilizopita kama reporter, lakini kwa uchaguzi huu wa 2015, nitauripotia sio kama ripota tena, nimeshastaafu, bali sasa naripoti kama mtazamaji, nikiwa nje ya newsroom.

Lengo la thread hii, ni kutoa angalizo, kwa baadhi yetu ambao ni wapenda mabadiko, wamehamanika sana na mabadiliko, 2015, hivyo hii itawasaidia kujiandaa kisaikolojia kwa lolote kinyume cha matarajio yao, hivyo matokeo yoyote yanakuwa na less impact kwao!.

Nlishawahi kusema huko nyuma kuwa CCM imechokwa na siku zote inashinda sio kwa sababu inapendwa sana!, la hasha!, CCM inashinda kwa mazoea tuu!. Mategemeo ya washabiki na wapenzi wa Chadema, ni kuiona inaingia ikulu, 2015!. Kuna "Great Expectations, ya 2015 ni Chadema!", haya ni matumaini, "hopes!, ila matumaini sio lazima yawe ndio reality!, ukweli ni mwingine!. Sasa huu ninauandika humu sasa, ndio ukweli wenyewe, uhalisia wa mambo!. Kufuatia CCM kuchoka mpaka basi kwenye baadhi ya maeneo, Chadema hata wakisimamisha jiwe, jiwe litachaguliwa, hivyo Chadema itavuna idadi kubwa ya wabunge wengi zaidi huku bara,

Safari ya kuelekea 2015 ndio hii inaendelea, sasa hivi tuko half way!, bado hakuna dalili za dereva mpya kujifunza!, nasikia kutafanyika zoezi la kubadilishana madereva baadae mwaka huu, hebu na tusubirie timu mpya tuone kama kuna mabadiliko!, na hata kama ikirudi timu ile ile, basi ni lazima ibadilike! kama itaendekeza uendeshaji ule ule, basi ni hakika bila mashaka yoyote, mshindi ataendelea kuwa yule yule, dereva bingwa mwenye gari bovu!, yaani yule yule mwenye ule ule mkweche!.

Kwa maoni yako, katika hii safari ya kuelekea 2015, jee dereva mpya, mwenye gari mpya, mashine bomba ambaye hajaizoea njia, anaweza kumshinda dereva mkongwe, mzoefu wa safari, mwenye gari bovu, na mkweche?!.

Wito wangu kwa wapenda mabadiliko wote!, fuatilieni kwa makini hii trend iliyopoi sasa!, 2015 msije kushangaa!.

Wasalaam.

Pasco.

Kwa ajili ya reference, inaweza pia kupitia hizi threads.

  1. CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!
  2. Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!
  3. Yametimia!, CCM Imechokwa!, Chadema Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni ...
  4. CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
  5. Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

With just 7 days to come, tayari Chadema, imeishapata dereva mzoefu!, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco
 
With just two days to go, there is nothing new to say, yote yameishasemwa, sasa imebaki kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, uchaguzi ndio keshokutwa Jumapili, nini kitafanyika siku hiyo, na baada ya hapo, tukutane tena wiki ijayo, au tupongezane, au tupeane pole!.

Nchi hii inaweza tuu kubadilishwa kwa watu wenye uthubutu wa kuchukua maamuzi magumu, na kusimama wahesabiwe!.

I'm very proud kuwa ni mmoja wa wapiga kura hiyo Jumapili.

Haya shime kwa wote waliojiandikisha, tujitokeze kwa wingi, tuitumie haki yetu ya kidemokrasia kujichagulia viongozi wetu,

We have to choose our leaders and love our choices and live with or without!.

Pasco
 
Pasco, unatumia akili nyingi na mbinu nyingi kuiokoa CCM, hata hivyo, hutafanikiwa - CCM haiponi 2015. Hakuna cha gari bovu wala jipya. Chadema tumeibiwa kura 2010, ule uzoefu unatosha kutufundisha jinsi ya kulinda kura zetu kwa kutumia nguvu ya umma 2015 bila kujali kuna katiba mpya au chakavu NA bila kujali kutakuwa na tume huru au tume mfungwa. You should get this right by now - watz wamechoka vyakutosha kaka.

Mikael P Aweda, upo?.

P.
 
We pasco vipi wewe? Cdm iache harakati? Unaelewa vizuri wimbi la mabadiriko linapokuja? Jitathimini mwenyewe ulipokuwa na umri wa miaka 18 na leo uwezo wako wafanana? Acha kutukatisha tamaa, mimi nina umri wa miaka 76 nimeichoka CCM ile mbaya! Acha umagamba wako, hakuna marefu yasonancha. 2015 nakuhakikishia ccm nje na CHADEMA MAGOGONI.

Haloooooo.....
 
Pasco, unatumia akili nyingi na mbinu nyingi kuiokoa CCM, hata hivyo, hutafanikiwa - CCM haiponi 2015. Hakuna cha gari bovu wala jipya. Chadema tumeibiwa kura 2010, ule uzoefu unatosha kutufundisha jinsi ya kulinda kura zetu kwa kutumia nguvu ya umma 2015 bila kujali kuna katiba mpya au chakavu NA bila kujali kutakuwa na tume huru au tume mfungwa. You should get this right by now - watz wamechoka vyakutosha kaka.

NB; Hebu pitia na hiyo thread nyingine humu JF inayosema kuwa William Malecela, Bulembo na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha walivyolazimishwa kupandisha bendera ya Chadema bila kutaka.

Hi..... mamboooooo..
 
Sasa mbona dereva mpya gari linaonekana kumshinda wangu!?

Ama alikosea akapita barabara nyingine?!!
Ama tuendelee kusubiri??
Ni wale abiria walio shukia njiani ndio Walio chelewesha safari. Kama wangejishukia tuu wao wenyewe, safari isingechelewa!, Bali walishuka wao na abiria waliopanda nao!.
P.
 

With just 7 days to come, tayari Chadema, imeishapata dereva mzoefu!, hakuna kipya cha kuwaambia wanabodi, bali ni kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, nini kinafanyika sasa, na nini kitafanyika hizo siku 7 zijazo, yaani tarehe 25 October, kiukweli kabisa, sioni jinsi yoyote ya CCM kushinda tena!, Chadema inakwenda kuchukua nchi kiulaini kabisa kama imeokota!, yaani CCM inakwenda kuanguka chini kiulani kabisa kama kumsukuma mlevi!.

Lakini ili hili litimie, ni lazima kila aliyejiandikisha, ajitokeze hiyo tarehe 25, aende kupiga kura na kumchagua Edward Lowassa!.

If "Together wa can!", and "United we Stand", "Victory is ascertain!"

Nawatakia Jumapili njema!.

Pasco

Naaam....
 
Back
Top Bottom