Recent content by Simbanojr

  1. Simbanojr

    Rais wa Zanzibar, Dr. Shein: Mkitaka kuzima umeme zimeni, tutawasha vibatari

    Tanzzania kuna mambo yani kama mtt wa geti kali akiruhusiwa kila mchezo anautaka yeye kuu cheza sasa swala la madawa liliishia wap kwanza?Bashite jee?sasa tupo zetu Znz kukata umeme Muvi lnaendelea
  2. Simbanojr

    Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda

    Hiz mambo za vyeti wangesema na mm sina vyeti kwa nlivosoma kwa tabu wallahi ninge vipost Instagram Facebook Tweeter Tango Tikiti na kuwa tag woote wanao sema sina hata kipindi kwenye tv ningekopa kuwe na tangazo la vyeti vyangu sijui kwann Daudi hafanyi hvo kuwakomoa :D:D:D:D:D:D
  3. Simbanojr

    Askofu Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

    mpaka sasa sijaona kosa la kufanya Gwajima akamatwe kwakweli maana kama vyeti au CV ya bwana Daudi kama inauongo mwenyewe aje atoe ufafanuz mbona jambo rahis sana hata Mh Zitto ashawah pewa hyo kwe Kampeni na akatoa vyeti vyake WHY DAUDI TOOK HIM SO LONG TO PROVE????????????
  4. Simbanojr

    Hivi leo ndio mwisho wa zoezi la uhakiki wa vya kitaaluma kwa watumishi wa umma?

    Ila bwana Daud is a Special Case yeye hata mwez wa nne itabid ahakikiwe tuu hakuna namna
  5. Simbanojr

    Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

    Hizi njaa jaman zita tuulia viongozi wetu wa din sijui wamelipwa nn hapo maskin ya mungu daaah!
  6. Simbanojr

    Je, Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia kuanzia shule za sekondari mpaka vyuo vikuu? Jadili

    Hili wazo halina tofautina na yale yanayo tolewaga kwenye "UPUUZI WA MASOUD KIPANYA"
  7. Simbanojr

    DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

    hahahaaaaa raha sana kuzaliwa Tanzania utadhani tupo Hollywood kumbe ndio maisha ya kweli tunaishi! GAMEON
  8. Simbanojr

    RC Makonda agoma kuzungumzia kughushi vyeti

    Kwel nmeamin sio kila anae feli hana akili jinsi ya kujibu swali ndo kinatu Felisha sasa DC kaulzwa vyeti anajibu madawa
Back
Top Bottom