nyocksie
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 403
- 260
Kama kumbukumbu zangu zipo vizuri, Nafikiri hii kauli ilisikika kutoka kwa waziri wa utumishi wa umma. Kauli hiyo ilisema kua Leo Tarehe 01.03.2017 itakua mwisho wa uhakiki na kwa wafanyakazi ambao hawajawasilisha vyeti watachukuliwa hatua.
Kumbukumbu zangu zinaweza zisiwe sahihi....Na kama wewe unakumbuka kauli sahihi naomba utujuze.
Kumbukumbu zangu zinaweza zisiwe sahihi....Na kama wewe unakumbuka kauli sahihi naomba utujuze.