Recent content by Simba chai

  1. S

    Kwanini sasa hivi Wazanzibar hawataki tena Serikali Tatu?

    Wacha iyo serekali tatu wazanzibari ata huo muungano wenyewe hawautaki.
  2. S

    Tetesi: ACT Wazalendo, ilikutana na Tume ya Jaji Chande na wakaomba isipigwe picha?

    Safi sana ACT nyie ndo chama kikuu chaupinzani.
  3. S

    Hofu ya watanzania wengi: Je, 2030 baada ya Rais Samia kumaliza awamu yake CCM wataweza kuleta Rais mzuri kama Samia kweli?

    Rais Samia ndokwanza anahudumia muhula wake wakwanza kwaiyo tukonae mpaka 2035
  4. S

    Bila Samia, Taifa Stars wasingefuzu

    Ni kweli magoli ya mama yamesaidia sana kuongeza morali ya wachezaji, Hongera mama mi5 tena tuko nawewe mpaka 2035,
  5. S

    Hivi Samia, Lissu amekukosea nini?

    Naona Lissu ndio angeulizwa Samia kamkosea nini alimpa kilakitu (Pesa,kumrudisha Tanzania, kufuta kesi zake zote, kumfungulia afanye siasa) lakini fadhila yake nikumtukana na kumdhalilisha Samia.
  6. S

    Mange Kimambi inabidi awekwe kwenye vitabu vya Historia ya Nchi yetu

    Labda historia ya udhalilishaji, yani mtu juzi alikua ananunua nyuchi zawatu leo awe shujaa?
  7. S

    Waliojiweka madarakani bado wana kiburi. Kwanini wameendelea kuteka, kumficha Polepole na kesi ya Lissu imewekwa kapuni?

    Kwani Mh Polepole alirudi lini nchini? Na uyo Lissu ana kesi ya uhaini ataachiliwa vipi.
Back
Top Bottom