Recent content by SilverRays

  1. SilverRays

    Wanafunzi bora kitaifa TO's huwa wanasomaje?

    Dogo potea kabisa mitandaoni, wale huwa hawamo umu, kakomae chemba uelewe vitu :cool:
  2. SilverRays

    Mwalimu Mpande wa Moshi Technical

    Huyo kiumbe hayuko pale kwa sasa,Tulikuta habar zake tuh,Sasa yuko lema pale, Fujo sana huyo lema, saa moja yuko Azimio na pikipiki lake...
  3. SilverRays

    Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

    Dah! Uliposema somo la uvumilivu umenikumbusha mbali sana kaka, Enzi ile tuko under Muhuga.Usipime! Unaambiwa usitingishe Hata kichwa.###.
  4. SilverRays

    tupeane possible za kesho form 4

    Usihangaike BRN ipo,hakuna kufeli.Ni kazi tu. Kunywa Maji Mengi.
  5. SilverRays

    Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

    Jaza form hizo,uzi submit tena. haukumaliza kujaza.
  6. SilverRays

    Mwenye vigezo gani anakubalika kusoma advanced diploma, yeyote

    Hiyo equivalence wanaichukulia kama degree au? na je mtu wa form six ana vigezo vya kusoma hii?
  7. SilverRays

    Mwenye vigezo gani anakubalika kusoma advanced diploma, yeyote

    Mwenye vigezo gani anaweza soma advanced diploma(afya),pia nini tofauti kati ya Advanced diploma na ordinary diploma.
  8. SilverRays

    Mwenye vigezo ga ni anasoma advanced diploma,Afya

    Mwenye vigezo gani anaweza kusoma advanced diploma(afya),pia nini tofauti kati ya Advanced diploma na ordinary diploma.
  9. SilverRays

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Wakubwa wenzangu wa BRN tupunguze hizi mambo za kukoseakosea spelling.. Sasa hapa mwenzangu huyu sijui kaandika nn... bira-bila compitition-competition apana-hapana akuna-hakuna anaeilewa-anaeielewa. Halafu BRN ni acronym ,should be in capital letter. Et huyu nae...
  10. SilverRays

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Wakubwa mm nna swali, Hivi humu katika hii thread yetu hakuna dadaz ambao ni continuing? wa Udom i mean,coz sioni hata wakituelekeza wadogo zao namna ya kutunza boom zetu kuepuka vishawish na nin.. Tunawaona wakina mbaruku tu na wengine. Kwa kifupi andika za dadaz zinajulikana. hata ajikaze vipi...
  11. SilverRays

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    Wakubwa hii bachelor of Education in Early Childhood education kaz zake ni zipi ? au kufundisha watoto?
Back
Top Bottom