Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

jamani mi nimechaguliwa duce naomba kuhulza kama je kunajoining instruction ambyo unatakiwa kuwa nao? kama upo na je unaptkana wp? au mpaka chuo?
 
mwenye kujua lolote anijuze mi nmeingia kwenye profile yangu haijabadilika chochote.
 
Wakati wa kuomba mkopo kuna account tulifungua : OLAS ndiyo hiyo tuliyotumia kuomba mkopo.
Kwani wewe uliombaje mkopo.?
Pafuada

kuna mtu alinifanyia mchakato wote kwenye internet akanikabidhi form nikazituma kwa EMS.Account ninayoijua ni ya TCU tu. Je ndio inayotumika?
 

Attachments

  • 1446360274868.jpg
    1446360274868.jpg
    28.9 KB · Views: 171
daah bora wameongeza hilo buku ....ingawa bado dogo
 
mbona form ya mkopo tulijaza vizuri na hata yalipotoka majina ya waliokosea wanatakiwa kuedit mm sikuwepo lakini bodi wanasema form in complete tatizo nn???
 
mbona form ya mkopo tulijaza vizuri na hata yalipotoka majina ya waliokosea wanatakiwa kuedit mm sikuwepo lakini bodi wanasema form in complete tatizo nn???

nadhan utakuwa mpango wa ktupunguza
 
basi wasome watoto zao tuu dah inauma sana form unajaza vizur wao wanazingua
 
Back
Top Bottom