Recent content by SILVANUS NJENGA

  1. S

    Tuguswe na athari Hadi za tetemeko la aridhi mkoa ni Kagera.

    Tanzania ni moja na Watanzania wote ni ndugu. Hivyo tunaimizwa kuendelea kuguswa na namna ileile na athari zilizowapata Watanzania wa mkoani Kagera. Bhass kila mwenye kuguswa aunge mkono jitihada za Serikali kwa kuchangia chochote kwenye Akaunti ifuatayo:- jina la Akaunti:- KAMATI YA MAAFA...
  2. S

    U.S. says Rwanda's Kagame should step down at end of term in 2017

    "U.S. says Rwanda's Kagame should step down at end of term in 2017 | Reuters." YES HE MUST STEP ASIDE AS HIS TERM MARKS AT THE END.
  3. S

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Mwenyezi Mungu akamshindie DAVID KAFULILA. Taifa linamuhitaji sana maanaa ni kijana Mzalendo wa dhati kwa taifa lake. #NINAMUOMBE USHINDI KATIKA KESI HII.
  4. S

    David Kafulila afungua kesi Mahakama kuu, kutetewa na Tundu Lissu

    Mwenyezi Mungu akamshindie DAVID KAFULILA. Taifa linamuhitaji sana maanaa ni kijana Mzalendo wa dhati kwa taifa lake. #NINAMUOMBE USHINDI KATIKA KESI HII.
  5. S

    Watu wanne wanashikiliwa na Polisi Mkoani Geita kwa tuhuma za mauaji ya Alphonce Mawazo

    honestly; siko na imani kabisa na Jeshi la Polisi katika ili. Kamanda ningemuelewa kama angeniambia kuwa wao kama POLISI pamoja intelijesia yao huku wanashirikiana na MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YAANI (TCRA) wanachunguza Kwa pomoja ili kuweza kuwabaini na kuwakmata wale wote waliohusika...
  6. S

    Watu wanne wanashikiliwa na Polisi Mkoani Geita kwa tuhuma za mauaji ya Alphonce Mawazo

    honestly; siko na imani kabisa na Jeshi la Polisi katika ili. Kamanda ningemuelewa kama angeniambia kuwa wao kama POLISI pamoja intelijesia yao huku wanashirikiana na MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YAANI (TCRA) wanachunguza Kwa pomoja ili kuweza kuwabaini na kuwakmata wale wote waliohusika...
  7. S

    Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

    "Suala la mapenzi halina sifa wala ujuzi." by MADEE.
  8. S

    Maamuzi ya Rufaa za Wabunge na Madiwani yaliyofanyika ktk Kikao cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

    Mwenyezi Mungu ahsante sana kwa ili. Ni mwanzo mzuri hivyo bila shaka hata hitimisho lake hapana shaka litakuwa bora haswaaaa!!!!!!!!.
  9. S

    Patrobas Katambi wa CHADEMA, atekwa akirudisha fomu ya ubunge Shinyanga Mjini

    kwa hiyo kama ametekwa na kunyanganywa form ndiyo mwisho wake kugombea ubunge au atapewa nyingine za kumhalalisha kuweza kugombea ubunge?????? #msaada katika ili tafadhali.
  10. S

    North Korea shells South Korean military unit forcing Seoul to return fire

    Nampa pole nyingi sana KOREA KASIKAZINI maana raia wasiyo na hatia ndani ya Korea Kusini na hata Korea Kasikazini hasa zaidi zaidi ndani ya Korea Kasikazini wataumia pasi sababu za msingi. Acha movie iendelee na mwisho wake tutauona tu.
  11. S

    Mkutano wa ACT - Wazalendo kuhusu Mgombea Urais, Prof Anna Mghwira kuwa mgombea

    movie inaendelea hata ipate 25/October/2015
  12. S

    Kama kucheka ni uzembe, basi kubali uitwe mzembe kwa muda 2...

    aliyezoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi kamwe!!!!!!!!!!!! WAHENGA, WALINENE TOKEA ENZI
  13. S

    Ndoa ndoano

    mambo ya ndoa hayo!!!!!!!!!!!! "ndo utamu wa ndoa wenyewe huo".
  14. S

    Haya mazoezi ya ndege za Kijeshi mjini (Dar) yanatia shaka kipindi hiki!

    wakati ukiwadia kunakuwa hamna namna!!!! "HOFU NA SHAKA ONDOA, CHA MSINGI TUNZA #KICHINJIO CHAKO, NA HAMASISHA NA WENGINE PIA WAVITUNZE NA SIKU YA TAREHE HUSIKA BHASS FIKA NAVYO SEHEMU HUSIKA KUTENDA JAMBO ZITO NA LA KI-HISTORIA."
  15. S

    Haya mazoezi ya ndege za Kijeshi mjini (Dar) yanatia shaka kipindi hiki!

    wakati ukiwadia kunakuwa hamna namna!!!! "HOFU NA SHAKA ONDOA, CHA MSINGI TUNZA #KICHINJIO CHAKO, NA HAMASISHA NA WENGINE PIA WAVITUNZE NA SIKU YA TAREHE HUSIKA BHASS FIKA NAVYO SEHEMU HUSIKA KUTENDA JAMBO ZITO NA LA KI-HISTORIA."
Back
Top Bottom