Recent content by sililomt

  1. S

    Kila shirika la umma limuige Mkurugenzi wa Shirika la Reli

    Tuliambiwa maneno matamu kwenye Twiga arukae ngoja tusubiri tuone maana hata wale twiga wengine hatujui hata lini wanakuja
  2. S

    Dr. Harrison Mwakyembe umewazima watu midomo! Aisee kweli umdhaniae kumbe siye

    Tena waziri anafanya vizuri kufungua magazeti
  3. S

    Mke wa Kafulila abadili jina lake facebook

    Mmesahau makongoro nyerere,hizo ni siasa
  4. S

    Wasafi wanahamia CCM, wachafu wanahamia CHADEMA

    Wangapi waliopokea viroba vya hela ya mboga wapo CCM, au ufisadi wao utaanza wakiwa nje ya CCM, hao hatuwaongelei,tuwe 'fair' tunapojadili mstakabali wa nchi ,wapo waluotajwa meli zao kusafirisha meno ya ndovu hatuwazungumzii kabisa.
  5. S

    Katibu Wa ACT-Wazalendo Mkoa Wa Dodoma , Weston Kaduma Na Wanachama 800 Wahamia CCM

    Watu 800 au kadi 800,tuache uwongo, mkutano wa kuwskusanya watu kwa idadai hiyo kwa maisha ya sasa hakuna
  6. S

    Katibu Wa ACT-Wazalendo Mkoa Wa Dodoma , Weston Kaduma Na Wanachama 800 Wahamia CCM

    Acheni uwongo,hicho kijiji kuwa na watu 800 au mliwabeba kwa malori
  7. S

    Rais Magufuli: Majizi yamehamia CHADEMA

    Wale wa hela ya mboga wapo chama gani? Naomba msaada
  8. S

    Kwa usajili unaofanywa na CHADEMA, isahau kuchukua nchi

    Mbona wasira alishahukumiwa kwa kutoa rushwa na mahakama na bado akateuliwa kuwa MBUNGE na waziri?hii ni siasa Leo mzuri kesho mbaya na kwenye siasa hakuna adui wa muda mrefu ila maslahi ndio msingi
  9. S

    CCM Singida: Sababu zilizomfanya Nyalandu kujindoa CCM ni hasira za kukosa Uwaziri

    Imewagusa ,kwa hiyo waliotoka act kuja CCM nao wanefuata nn
  10. S

    Wana JF, Tutofautishe Kati ya Kusema Uongo na Kuteleza Ulimi, Rais wa TZ Hawezi Kusema Uongo, Labda Kuteleza tuu!

    Zidumu fikra za mwenyekiti,fikra zingine zote ni uwongo mtupu
  11. S

    Waraka wa Bashir Yakub: Tundu Lissu japo unaumwa lakini umeshindwa

    Kina nani wametufikisha hapa ?
Back
Top Bottom