Wangapi waliopokea viroba vya hela ya mboga wapo CCM, au ufisadi wao utaanza wakiwa nje ya CCM, hao hatuwaongelei,tuwe 'fair' tunapojadili mstakabali wa nchi ,wapo waluotajwa meli zao kusafirisha meno ya ndovu hatuwazungumzii kabisa.
Mbona wasira alishahukumiwa kwa kutoa rushwa na mahakama na bado akateuliwa kuwa MBUNGE na waziri?hii ni siasa Leo mzuri kesho mbaya na kwenye siasa hakuna adui wa muda mrefu ila maslahi ndio msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.