Punguza munkari Tulia ueleweshwe , vita sio mabomu wala vita sio kuua watu wasio na hatia. Vita ni malengo na ili ushinde vita maana yake ufikie malengo yako ulokusudia.
Sasa marekani hakuna hata jambo moja alofanikiwa zaidi ya kuua wale watoto wa shule walokua katika madarasa yao. Na zaidi...
Kazi kuzua uongo tu, na hata kama ni kweli sisi tunajua ISIS ni mayahudi wa Mossad sio waislamu, kigezo chetu sisi ni Mtume Muhammad sio ISIS, na mtume hakuwahi kufanya mauaji kama haya ya halaiki. Punguzeni chuki. Hao moderator wa JF sijui wanafanya kazi gani maana nyuzi nyingi ni za uzushi tu
Wewe baradhuli kua na adabu. Uislamu umekuja kuleta nidhamu. Nyinyi wezi mnawachoma moto nani katili? Acha ujinga na uduanzi. Na huyo mwizi si kama anakatwa tu mkono mpaka wizi uwe wa hatari.
Kuhusu mtoto wa nje ya ndoa huo ni uzembe wa wazazi, mtu anakaa miaka 30 bila ndoa ana akili kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.