Makafiri mna shida sana na Uislamu na yote inasababishwa na kua nyninyi ni waovu , kama sio muovu huwezi kuuchukia uislamu.
Lazima ufahamu hayo yanayofanywa na baadhi ya waislamu sio lengo wao wanajidanganya wenyewe, msingi wa swaumu sio kushiba usiku au kukaa na njaa mchana, lengo la kufunga...
Halafu uwe na adabu ww , tumekatzwa pombe hii kwa sababu inalewesha na kupoteza akili na fahamu, pombe ilioko peponi sio hii ya duniani, punguza ujinga na chuki
Huyu kaona mgonjwa wa kiarabu kachachawa, kataka amvue mtandio aone nywele za singa keshazoea kuona mawigi, halafu alitaka amvue na sidiria na shanga, halafu alitaka atume post kua kala tunda kimasihara, mshenzi sana
Makafiri mnajua hamna akili, kwa sisi waislamu mke ni kitu cha thamani lazima tuwe na wivu na wake zetu, hivyo unavyotaka wewe sisi hatutaki, yaani uachiwe mke wa mtu umchezee kisa ni daktari, halafu uje kumbaka, pumbavu
Zamani elimu ya sekondari ilikua ni elimu ya fursa tu serekali ilikua haina uwezo wa kusomesha wanafunzi wengi kwa hio nafikiri kulikua na deliberate attempt ya kufelisha wanafunzi kwa kutunga mitihani migumu , unaweza ukakaa masaa mawili hujui umeulizwa nini, lakini pia kwa upande mwengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.