Recent content by silent lion

  1. S

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    That's blasphemy
  2. S

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    MTUME? WHO GAVE THIS AUTHORITY
  3. S

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    YULE DADA ALIKUA NA MATUSI MNO, YAKUZA WASHAFANYA YAO
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    Punguza munkari Tulia ueleweshwe , vita sio mabomu wala vita sio kuua watu wasio na hatia. Vita ni malengo na ili ushinde vita maana yake ufikie malengo yako ulokusudia. Sasa marekani hakuna hata jambo moja alofanikiwa zaidi ya kuua wale watoto wa shule walokua katika madarasa yao. Na zaidi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Lakini wanapata muda wa kula watawa na kuharibu watoto
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Rais Ali Hassan Mwinyi kipigwa kibao akihutubia

    Duh ,mkuu unaona mbali
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Makosa na ujinga wa wazazi msihusishe na uislamu. Mnakaaa mnazini miaka 30 hamfungi ndoa si ujinga huo?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kubadili dini na kuwa mkristo. Yesu ni Mungu na wayahudi ni wateule wake

    Una ugonjwa wa akili wewe. Hao unaosema wateule wa Mungu , hawamuamini Yesu. Acha ujinga
  9. S

    JamiiForums Tanzania ISIS iliua watoto wa mama hawa mateka. Ikapika miili yao na kuwachanganyia na wali kuwapa mama zao. Wamama walipogundua hil wengi walijiua kwa uchungu

    Kazi kuzua uongo tu, na hata kama ni kweli sisi tunajua ISIS ni mayahudi wa Mossad sio waislamu, kigezo chetu sisi ni Mtume Muhammad sio ISIS, na mtume hakuwahi kufanya mauaji kama haya ya halaiki. Punguzeni chuki. Hao moderator wa JF sijui wanafanya kazi gani maana nyuzi nyingi ni za uzushi tu
  10. S

    JamiiForums Tanzania KERO Waingizaji wa mizigo walalamikia TBS kwa kuchelewa kutolewa kwa Control Number na gharama kubwa za storage

    Tatizo kubwa huwezi kulodge zbs mpaka upate assessment ya Tra, wakati zamani ilikua unalodge kwa pamoja, ni kama kuna conspiracy hivi
  11. S

    JamiiForums Tanzania Prof Assad amewaumbua vibaraka wa mafisadi wa CCM ambao walimsingizia hayati JPM kukwapua tril 1.5

    Jumlisha na uwanja wa ndege wa Chato ambao sasa hivi unaanikiwa mpunga
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Wewe baradhuli kua na adabu. Uislamu umekuja kuleta nidhamu. Nyinyi wezi mnawachoma moto nani katili? Acha ujinga na uduanzi. Na huyo mwizi si kama anakatwa tu mkono mpaka wizi uwe wa hatari. Kuhusu mtoto wa nje ya ndoa huo ni uzembe wa wazazi, mtu anakaa miaka 30 bila ndoa ana akili kweli?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Nchi yako ni nchi gani?
  14. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Hio dini sisi ndo tunayoitaka, sisi sio wanyama , lazima tuishi kwa kufuata dini
  15. S

    JamiiForums Tanzania Shehe Mwinyi mdogo ameamua kuifanya Zenj emirate au sheikdoom?

    Acheni chuki, Magufuli kila wiki alikua kanisani wala hatukusema kitu
Back
Top Bottom