Recent content by Silent Burner

  1. S

    Rais Kikwete Ziarani Japani

    Uchuro huo .... Nothing bad will happen.
  2. S

    ‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

    Juzi Kagame alipohojiwa na BBC alisisitiza kuwa mazungumzo ya amani yapewe nafasi badala ya nguvu za kijeshi. Alimaanisha Tz itoe nafasi kwa M23 waongee na Kabila kwanza, wasipoelewana ndo walazimishwe kijeshi. Cha kushangaza anapoambiwa aongee na wabaya wake FDLR kabla haijaamuliwa nao wadundwe...
  3. S

    Harambee Ya Mjane Wa Daud Mwangosi; Waliochanga Na Kiasi Kilichopatikana Hadi Sasa...

    Majjid, sahihisha kiasi cha pesa kwa maneno, hakiendani na tarakimu.
  4. S

    Malawi likely to win lake row with Tanzania at ICJ, Says University Historian

    Ipo mito 18 ya tz inamwaga maji Ziwa Nyasa. Maaumizi yeyote yatakayolitoa ziwa lote kwa Malawi yatahalalisha tz kuzuia maji ya mito hiyo yasiende huko. Tutatengeneza mabwawa elfu kumi na kuyaelekeza huko tuone kama hilo ziwa litaendelea kuwepo.
  5. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Walioko National kwenye mtanange wa leo tunaomba updates.
  6. S

    Vifo vya Comoro na Darfur: Hivi JWTZ wanafundishwa kuogelea??

    Inapotokea gari lolote lenye watu ndani limesombwa na maji ghafla, hata wanaojua kuogelea kama wako ndani wanaweza wasiweze kujiokoa kwa kutegemea ujuzi wao huo wa kuogelea kwa sababu huenda wasiweze kupenya kutoka nje au wakatoka wamejeruhiwa wasiweze kuogelea. Vivyo hivyo kwa gari la kivita...
  7. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Sio mbaya, matokeo yeyote sawa tu, yatakuwa yameonesha jinsi tulivyo. Hii ni mechi nzuri ya kumwezesha kocha kujua mapungufu ya timu yake kabla ya mambo mazito kuanza.
  8. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Shukrani nyingi sana kwako Masuke.
  9. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Jamani uwanjani national leo hakuna mwana JF???
  10. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    SIMBA v/s SOFAPAKA - Wakuu mlioko uwanjani tunaomba updates. tunatanguliza shukrani
  11. S

    Dokta Slaa aitisha Press Conference Iringa!

    Hamna jipya ....Usanii as usual.
  12. S

    Museveni promotes son to brigadier

    Watz ni wapiga kelele saana na mabingwa wa kulalamika. Sijui iwapo mfumo huu wa wazi wa kupeana ujiko kifamilia katika nafasi nyeti kiungozi ungekuwepo tz hali ingekuwaje ..............si ajabu watu wangeacha kulalamika na kuamua kujinyonga.
Back
Top Bottom