Juzi Kagame alipohojiwa na BBC alisisitiza kuwa mazungumzo ya amani yapewe nafasi badala ya nguvu za kijeshi. Alimaanisha Tz itoe nafasi kwa M23 waongee na Kabila kwanza, wasipoelewana ndo walazimishwe kijeshi. Cha kushangaza anapoambiwa aongee na wabaya wake FDLR kabla haijaamuliwa nao wadundwe...
Ipo mito 18 ya tz inamwaga maji Ziwa Nyasa. Maaumizi yeyote yatakayolitoa ziwa lote kwa Malawi yatahalalisha tz kuzuia maji ya mito hiyo yasiende huko. Tutatengeneza mabwawa elfu kumi na kuyaelekeza huko tuone kama hilo ziwa litaendelea kuwepo.
Inapotokea gari lolote lenye watu ndani limesombwa na maji ghafla, hata wanaojua kuogelea kama wako ndani wanaweza wasiweze kujiokoa kwa kutegemea ujuzi wao huo wa kuogelea kwa sababu huenda wasiweze kupenya kutoka nje au wakatoka wamejeruhiwa wasiweze kuogelea.
Vivyo hivyo kwa gari la kivita...
Sio mbaya, matokeo yeyote sawa tu, yatakuwa yameonesha jinsi tulivyo. Hii ni mechi nzuri ya kumwezesha kocha kujua mapungufu ya timu yake kabla ya mambo mazito kuanza.
Watz ni wapiga kelele saana na mabingwa wa kulalamika. Sijui iwapo mfumo huu wa wazi wa kupeana ujiko kifamilia katika nafasi nyeti kiungozi ungekuwepo tz hali ingekuwaje ..............si ajabu watu wangeacha kulalamika na kuamua kujinyonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.