Recent content by Siki Onyamogecha

  1. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kutuma na kupokea pesa kutoka nje ya nchi

    Mda huo huo,ila pia utatakiwa kumtumia KOPY ya passport yako huyo uliemtumia
  2. S

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Zitto mnayetaka aingie UKAWA?

    Ni zaidi ya msaliti Huyu bwana
  3. S

    JamiiForums Tanzania SIMANZI: Ajinyonga baada ya kusalitiwa na mpenzi wake, aacha barua yenye ujumbe mzito

    Mapenzi hayana komandoo hata Adolph Hitler Kwa demu wake alikuwa anapiga magoti...na Huyu huweze jua labda limbwata alizidisha[emoji30] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. S

    JamiiForums Tanzania Lipumba: CCM na Chadema hawaiwezi rushwa!

    Yeye sio fisadi na CUF ipi ya kupambana na ufisadi? Waliomtuma arudi akawambie watanzania wa sasa sio wale wa jana tunajua nyeusi na nyeupe ni IPI asitudanganye hatudanganyiki
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe jinsi Serikali ilivyoshughulikia tatizo la njaa kipindi Lowassa alipokuwa Waziri Mkuu

    Nazani hata wee na huyo aliesema hamfikiri,HV kama mvua haijanyesha kwa kipindi kirefu...halafu inanyesha kwa kuchekewa hata kwa siku moja kijani hakiweze kuja! Isue IPO kwamba mvua zimechelewa na zimenyesha kidogo...sasa we ngangania kijani ili mazao yalishanyauka
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mtunza bustani ashtakiwa kwa kumtusi Magufuli, kwamba anaendesha nchi kinyume na maumbile

    Acheni kumsingizia Mungu na mifano isiyondana,MTU amejitwalia madaraka halafu useme madaraka yake yametoka kwa Mungu![emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
  7. S

    JamiiForums Tanzania Waalimu wahamia kuendesha bodaboda na kupiga picha mitaani

    Tuition zimezuiliwa sasa mwalimu atafanya Biashara gani ya kujikimu zaidi ya yeye kuwa BODA boda
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hatimaye "Chato International Airport" kuzinduliwa rasmi mwezi Aprili

    HV chato international airport na yenyewe IPO kwenye ilani ya chama chake? Duu hii nchi sijui!
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kubenea apigwa Stop na Mbowe kuandika kuhusu Ben Saanane

    Yetu macho ila BINAFSI mimi hainingie akilini kwamba Ben ameamua mwenyewe kutafuta kiki kwa kujipoteza..
  10. S

    JamiiForums Tanzania Why Kilimanjaro wageni hawafanikiwi, wachaga wametawala mkoa wote

    Yaani hapo unakuta MTU alikuwa shoe shine baada ya miaka miwili anamiliki mijengo!
Back
Top Bottom