Recent content by SIGULULA

  1. S

    Sam Mahela pongezi kwako, hongera kwa ITV pia

    Sam Mahela si wakupongezwa ni kama ametumwa kuchochea. Unaripoti mabaya tu kuchochea sehemu zingine. Nakumbuka hapa Arusha ile Diaspora ya Marekani sikumbuki jina kuna mwanafunzi alimwuliza mwakilishi wa CNN kuwa kwa kuripoti matukio na dhiki za Afrika mnafaidika nini. Akamweleza kuwa kwa maoni...
  2. S

    Dr. Slaa siyo wa kupuuzwa

    Lowassa si dhahabu il a Watanzania has vijana mmekuwa mazezeta hamfikiri tens. Nilikuwa mpenzi Wa ukawa but not now ufisadi juu Chadema walikuwa na SLOGANI 'SISI TUNA MUNGU HATUNA FEDHA. Leo ni sawa????
  3. S

    ITV: Kipima Joto wamegwaya

    Shiiida hasafishiki, Watanzania tufunguke. Chadema kumbe nao mchezo uleule, wakipewa nchi afadhali zimwi likujualo. Maoni ya upinzani hawezi kusema
  4. S

    CHADEMA njaa kali, kuanzia leo siwaamini tena, wapo kimaslahi zaidi

    Hakika umenena nami sina imani tena na chadomo. Hivi watatumia lugha IPI sisi watanzania wazalendo wa ukweli tuwaelewe??????
  5. S

    Ufedhuli wa kipindi kinachoitwa club raha leo kinachorushwa na TBC

    As ante mie namshangaa Masoud ni MTU mzima lakini mambo yanayofanyika kipindi hiki na mile cha sijui wanashinda HAKIKA TBC NI YA KIPUUZI SIWEZI KUANGALIA KIPINDI CHA KIJAMII HATA. Hivi ubunifu wamedhindwa je wangeanza kuonyesha kama Shamba shape up au my house au my tasty food ingekuwaje? Vijana...
  6. S

    Halima Mdee: 'Nimekula bata' rumande

    Alionana na Babu Seya akamwomba amusaidie kwani amewekewa mizengwe kama yeye:A S wink:
  7. S

    Andrew Chenge: Toka Ufisadi hadi Uandishi wa Katiba ya nchi

    Yaani chukua chako mapema wametuona watz wote ni mitaro ya maji taka ya manzese sawa lakini HAPANA INAWANGOJA KATIBA HAIWEZI KUSISIMAMIWA NA MWUAAJI FISADI NA ANAEVUNJA SHERIA NO NEVER!!!!!!!!!!
  8. S

    Waliopokea Katiba pendekezwa wasotea posho Dodoma

    Jamani waache waanikwe wajue watu tunajua kuwa jana ilikuwa ujinga tu hivi hawaoni hakuna hata chombo kimeleta mwendelezo wowote au kurudiarudia habari!!!!!!!!!!!!!!!! CCM! CCM! CCM OHEYEEEEEEEEEEE:hail:
  9. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    tunatayarisha hospitali ya Mirembe ili mambo yatakofunuliwa hakika aliyesema haya zitamruka tuuuuu!!!!!!!!!!!:A S wink::deadhorse:
  10. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    huna ubavu wa kumwambia kipenzi wa Watanzania wapenda ukweli Askofu Niwe Mugizi. Watanzania tutasema HAPANA KATIBA YA KIFISADI kwanaza mjitayarishe nchi kufilisika maana hela mlio kula itawatokea puani tuuuuuuu:A S 11:
  11. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    Kanisa la Mitume la Katoliki lina utaratibu wake elewaaaa si hatujengi maaskofu BALI MUNGU ANATUTEULIWA SABABU HILI SI KANISA LA FULANI NI Kanisa Takatifu la Mitume ni la wote UNIVERSAL CHURCH. Askofu Niwe Mugizi leo anaweza kuteuliwa akaongo Uganda, Marekani, Vatican and so on..... si changanye...
  12. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    Hivi amehubiri kipi cha vurugu kusema ati ataendesha kazi ya kupinga yale ambayo SISI WATANZANIA WENGI HATUAMINI AU?????????????? Najiuliza hivi mnasense kweli nani analeta vurugu kusema ukweli au USITISHE WATU NDIO MAANA TUNAJENGA USUGU EBU anagalia kule waalimu POLISI WALICHANA MABANGO...
  13. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    Nawale Marais wastaafu WALIOKACHA YA UPUUZI WA JANA ni wafuasi wa..........................................CDM?:A S wink:
  14. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    NADHANI WEWE HUIJUI VATICAN NDIO MAANA UNAONA HAYO..................Nakukumbusha kidogo Marekani ni wababe sana lakini Rais wa Marekani anaomba sala toka kwa Baba Mtakatifu sasa leo unandika uupuzi huu ....pole sana Askofu Niwe Mugizi aluta continua.....................
  15. S

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    Mbona mnajitia hamnazo sababu ya posho mlizopata na mtatuletea tutakula halafu KATIBA HAPANA. Tulipendekeza mawaziri wasiwe wabunge, mbunge awe na kikomo 2 terms na JAJI MKUU AFANYIWE USAILI KAMA KENYA na imeisaidia nchi hiyo SASA KWANINI NIPIGIE KURA KATIBA AMBAYO IMEKATAA MAONI YANGU LAKINI...
Back
Top Bottom