serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,354
- 4,761
Dah,Mkuu unamaanisha nini hapa?
Kiongozi, hujui michezo ya kushikishana ukuta?? Mbona jela ndo sehemu yake..
Dah,Mkuu unamaanisha nini hapa?
Bata ni nini?
Ngoja nami nifanye fujo nikale bata Segerea. Nikifika tu kule nitakuwa napiga muziki na Babu Seya na kutunga nyimbo za kuikashifu serikali iliyopo madarakani kwa sasa.
atakuwa kala bata mzinga
ww unabisha ulikuwepo?
Alionana na Babu Seya akamwomba amusaidie kwani amewekewa mizengwe kama yeye:A S wink:hiv hamjui kama maeneo ya magereza wanafuga bata weng so nafikir walimchinjia wa kutosha akala......
nwei la msing nafikir alimaanisha huko alikutana na watu wenye shida na yeye zaid na akapata nafas ya kua nao kwa karibu...
mbona ww una miaka 70 hujaolewa au una nuksiHalima Mdee ana miaka 35 bado hajaolewa? Au sio wife matirial?
JF nimefanya sehemu ya kutafutia wachumbaMla bata kaliwa kama bata!
Wewe unaya jua maisha ya jela?Halima Mdee alikuwa sero siyo jela maisha ya jela unayajua wewe, huko sero ndiyo alikula bata kutoka kwa nyampara.