Recent content by Sifuri wa zero

  1. Sifuri wa zero

    MSAADA JUU YA LAPTOP YANGU

    Aksante Mr ntajaribu kuulizia nadukani Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Sifuri wa zero

    MSAADA JUU YA LAPTOP YANGU

    Hello ndugu zangu,laptop yangu inatatizo la kujizima hasa inapochemka baada ya kuwa imefanya kazi sana.Sasa hivi naona tatizo linazidi haiwezi kukaa hata lisaa limoja bila kujizima tofauti na zamani ilikua inaweza kukaa hata wiki mbili bila kuzima.Nimejaribu kuuliza juu ya tatizo wapo...
  3. Sifuri wa zero

    Nafurahaa ya dhati kupata mwanaume mashine na mwenye mapenzi ya dhati

    Nasubiri urudi hapa unasema "yule mwanaume mashine spear zimekufa, machine imekongoroka,msaada wenu jamani"......basi hapo utegemee majibu ya kukuelekeza mashine used Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Sifuri wa zero

    Jinsi ya kupata software za kutengeneza instrumental(bit) za muziki

    Plugins nayo ni software inayonitegemea au naambatanisha na fl studio Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Sifuri wa zero

    Jinsi ya kupata software za kutengeneza instrumental(bit) za muziki

    Aksante mkuu vipi kuhusu gharama yake..... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Sifuri wa zero

    Jinsi ya kupata software za kutengeneza instrumental(bit) za muziki

    Sorry jamani,naomba mwenye kufahamu software za kutengeneza bit anisaidia either kudownload au kununua kuweka kwenye laptop Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Sifuri wa zero

    Leonidas and the battle of thermopylae (hot gates)

    It is interested Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Sifuri wa zero

    Samahanini wakubwa wangu wa kazi

    bwana we ngoja tukabadili mboga,maisha ndo haya haya Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Sifuri wa zero

    Samahanini wakubwa wangu wa kazi

    harafu nilivyo zero,usishangae akiomba alipie yeye Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Sifuri wa zero

    Samahanini wakubwa wangu wa kazi

    Kama nilivyotanguliza samahani hapo juu,ninaomba yeyote mwenye kufahamu guest mitaa ya kwanzia Kimara to ubungo anielekeze,manake nmepata ofa ya kumwaga sumu weekend hii pia na bei zake ila isizidi buku10 manake niko majalala vyuma vimekaza......I'm sorry again and again, thank you all Sent...
  11. Sifuri wa zero

    Balozi (The Tz Hip Hop legend)

    Amegraduate 2006 USA ila sijajua ni diploma au degree hata kwenye graduation Sugu alikuepo
  12. Sifuri wa zero

    Kanikataa kwa sababu ya Ufupi...!!

    Me mbona mfupi harafu Shemeji yenu mrefu na mzuri.....kashobokea dundo mwenyewe eti ooh wewe bwana unanifurahishaga nami bila kusita nikapeleka majeshi Silia,haaaa huu mwka wa pili tumegandana
  13. Sifuri wa zero

    Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

    Nashindwa ku-upload video yenye documentary za hip hop ya bongo yenye watu kibao kama x plasterz,gwm,inspector,sugu etc...inafurahisha i think you will enjoy it...Anaejua vzr ku-upload anicheck 0767712840 nmtumie watsap ili tushee
Back
Top Bottom