Recent content by sifa

  1. sifa

    Nishauri tafadhali niokoe ndoa yangu

    Wana MMU salamu kwenu. Niko kwenye ndoa miaka miwili tuu sasa lakini naona ndoa inataka kuwa ya majonzi kwangu. Kabla na baada ya kuoana na mume wangu maisha yalikuwa poa sana na tendo la ndoa ambalo tulianza kufanya hata kabla ya kuoana ilikuwa poa ttuu na wakati mwingine tulikuwa tunafanya...
  2. sifa

    Inawezekana Kujifunza kumpenda mtu?

    Inawezekana kujifunza kumpenda mtu. mfano mbona mara nyingi wanawake wanawatukana wanaume wanaowatokea. mwanaume asipokata tamaa na kuendelea kumfuatilia taratibu kadri muda unavyokwenda mwanamke anaanza kuvutiwa nae kwa jinsi alivyo mvumilivu, mtaratibu, mawazo yake, mtazamo wamaisha, n.k. hadi...
  3. sifa

    Hivi ndivyo tendo la NDOA linavyoombwa na baadhi ya Makabila

    nadhani wakati mwingine si lazima kutamka maneno wakati unataka, vitendo vyenyewe vinatosha kufikisha ujumbe kuwa sasa mpenzi wangu nahitaji.........................
  4. sifa

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Nawashaukuru sana wadau kwa ushauri wenu. Naufanyia kazi nikipona ntawataarifu nilichofanya kwa manufaa ya wengine pia wenye tatizo kama langu. Mungu awabariki sana.
  5. sifa

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Dear, JF Doctor+ wadau. Tafadhali ninaomba ushauri wenu (samahani kama lugha itakuwa kali kidogo). Nina kinyama kidogo kimeota sehemu ya matakoni pembeni mwa njia ya haja kubwa kuanzia nikiwa form three. Nilijaribu kuuliza siku za nyuma nikaambiwa inasababishwa na choo kuwa kikavu (kutokunywa...
  6. sifa

    Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

    Samahani wadau, inawezekana mimi sielewi madini ya diamond gharama zake! hiv kumbe mtu anaweza kuvaa kiasi kikubwa namna hiyo cha pesa kwenye kidole tu? maana kwa makadirio ya haraka ni sawa na Tshs 99,000,000! Duuh!
  7. sifa

    Mchaga majuu

    :DApa Mbaka!!!!!!!!!!!!
  8. sifa

    Laughter series: The teeth.....!

    Lovely lovely lovely!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  9. sifa

    Huyu Demu kweli ni Bikra!!

    Nimeipenda hiyo!
  10. sifa

    Neno 'dear'

    Neno Dear halina maana ya mpenzi tu, dear kwa kiswahili ni mpendwa ila waswahili tumeshajiwekea kuwa ni mpenzi. Unaweza kumwita mtu yeyote unaempenda Dear.
  11. sifa

    Koo zingine jamani zinabore

    Hakua na maana mbaya kusema hivyo ukweli nikwamba wanawake wana huruma zaidi na katika familia yeyote ukikuta msichana ambaye hamjali mama yake ni wachache sana. hilo halimaanishi wanaume hawajali ila women are more concerned!
  12. sifa

    Wanaume Ili awe chombezo la moyo wako pekee ni sifa zipi mnazitaka awe nazo ??

    sasa kwani wewe huwezi kumsaidia mkeo idea ya kuchora sebule yenu? Jamani kwenye ndoa mnasaidiana na kuelekezana.
  13. sifa

    Ungekuwa wewe ungefanyaje??

    duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, ni noma!
Back
Top Bottom