Wana MMU salamu kwenu. Niko kwenye ndoa miaka miwili tuu sasa lakini naona ndoa inataka kuwa ya majonzi kwangu.
Kabla na baada ya kuoana na mume wangu maisha yalikuwa poa sana na tendo la ndoa ambalo tulianza kufanya hata kabla ya kuoana ilikuwa poa ttuu na wakati mwingine tulikuwa tunafanya...
Inawezekana kujifunza kumpenda mtu. mfano mbona mara nyingi wanawake wanawatukana wanaume wanaowatokea. mwanaume asipokata tamaa na kuendelea kumfuatilia taratibu kadri muda unavyokwenda mwanamke anaanza kuvutiwa nae kwa jinsi alivyo mvumilivu, mtaratibu, mawazo yake, mtazamo wamaisha, n.k. hadi...
nadhani wakati mwingine si lazima kutamka maneno wakati unataka, vitendo vyenyewe vinatosha kufikisha ujumbe kuwa sasa mpenzi wangu nahitaji.........................
Nawashaukuru sana wadau kwa ushauri wenu. Naufanyia kazi nikipona ntawataarifu nilichofanya kwa manufaa ya wengine pia wenye tatizo kama langu.
Mungu awabariki sana.
Dear, JF Doctor+ wadau.
Tafadhali ninaomba ushauri wenu (samahani kama lugha itakuwa kali kidogo). Nina kinyama kidogo kimeota sehemu ya matakoni pembeni mwa njia ya haja kubwa kuanzia nikiwa form three. Nilijaribu kuuliza siku za nyuma nikaambiwa inasababishwa na choo kuwa kikavu (kutokunywa...
Samahani wadau, inawezekana mimi sielewi madini ya diamond gharama zake! hiv kumbe mtu anaweza kuvaa kiasi kikubwa namna hiyo cha pesa kwenye kidole tu? maana kwa makadirio ya haraka ni sawa na Tshs 99,000,000!
Duuh!
Neno Dear halina maana ya mpenzi tu, dear kwa kiswahili ni mpendwa ila waswahili tumeshajiwekea kuwa ni mpenzi. Unaweza kumwita mtu yeyote unaempenda Dear.
Hakua na maana mbaya kusema hivyo ukweli nikwamba wanawake wana huruma zaidi na katika familia yeyote ukikuta msichana ambaye hamjali mama yake ni wachache sana. hilo halimaanishi wanaume hawajali ila women are more concerned!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.