huwa ni rahisi kuwa na uhusiano kwa kuwa unategemea mkopo Wa chuo na mizinga ya wazazi kwa maana ya kuhitaji matumizi mbalimbali.Ila ukimaliza chuo mizinga hakuna anayetoa kukupa zaidi kukutegemea we we hapo ndipo mapenzi ya chuo huishia kwenye mahafali kwa maana huhitaji majukumu zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.