Goli la kisigino wanalofungwa CCM

Goli la kisigino wanalofungwa CCM

lazima tukubaliane lowassa ana mtaji wa kura nyingi kutoka ccm..kuna wabunge na viongoz wengi bado wako ccm lakn ni team lowassa hadi kufa..iko waz majukwaan watamsifia magufuli kulinda matumbo yao lakin kura zao na wafuasi wao watampa lowassa..na hili ndio goli la kisigino watakalofunga ukawa


hii ni kutekwa kwa ukawa.wenye ukawa wanaondoka yanaingia maccm na sisi tunashangilia!.hii ni mbinu nyingine ya ccm kuendelea kutawala.
 
ndg zng wtz tukazeni ili ccm tuwatie kamba shingoni...tz bila ccm inakubarika na inajengeka vzuri
 
Back
Top Bottom