Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Wewe Lizaboni nahisi una uchizi kabisa, maake sijui ni mahaba ya kujifanya haujui hata elimu ya huyo mbunge wako mpaka awe waziri mkuu, na haliwezi kutokea ungekuamshauri vizuri wa serikali yako ili angalau ahadi zenu kede kede mlizo ahidi ungempenekeza PRO.SOSPETER MUHONGO.
Huyo tunamrudisha TANESCO.
 
kaskazini tnnataka tujitenge, tuwe nchi yetu binafsi... unawaachia hilo litanzania lenu
 
Atakuwa mtu tusiyemtegemea na mfanya kazi kwa bidii

Atatupa bonge la sapuraizi

Bado nasherekea hadi mashavu yanapanuka leo kwa furaha ya Jembe kushinda.
 
afya migogoro huo Ukuu wa Mkoa Kilimanjaro majukumu yalimshinda kwa vile alikuwa anakosa kazi kwa kuumwa kila mara
 
Alivyokuwa mkuu wa mkoa alitunyanyasa sana,mti unataka kuangukia Nyumba lazima upate kibali kwake,HIMO alileta ndugu yake ukitaka kupeleka mahindi Kenya unatumia kampuni yao kwa malipo.hao waliompa ubunge sijui ni watu wa namna gani.waziri mkuu awe na kilo 400 atazungukaje hii nchi kuhamasisha maendeleo
 
Back
Top Bottom