Recent content by sibena4

  1. S

    Msaada kuhusu kozi ya Doctor of Medicine(MD) pamoja na Doctor of Dental Surgery (DDS)

    Great advise, especially kwenye zama hizi za kujiajiri. With BPharm na MBA marketing baadae utafiti sana.
  2. S

    Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

    Cardiac arrest ni matokeo ya mwisho, nyuma yake huwa kuna mambo mengi including infection e.g Malaria, yaweza kuwa high blood pressure, Diabetes, etc. There is no need to continue debating on the cause of death. Mtu akipata Severe malaria anaweza kupoteza maisha within.short time.
  3. S

    GE2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

    Kwa kifupi ni kuwa kila jinabla mtia nia lilikuwa na Ndiyo au Hapana. So kwenye jina la Nyalandu wajumbe wote wali tick Ndiyo (28 out of 28 =100%; Jina la Lissu, wajumbe 24 waliweka Ndiyo, wanne Hapana, n.k
  4. S

    Msaada: Hii vita mimi na Wife

    Well said. Inashangaza kuona mada ndofo ndogo kama hozi zinajadiliwa. Tumedilisika agenda kabisa
  5. S

    Wadada acheni kutuchukulia poa wanaume wenye miili ya kati/mikubwa

    Poole kwa kuhangaika kurizisha mashimo ya asili, usipoangalia utapata taabu sana kumridhisha binadamu.
  6. S

    Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

    Mkuu jiongeze baas, buku 2 tu zinakutoa mimacho wakati ni beer moja tuu, we vipi mbona uko karne ya nyuma saana. If you think Education is Expensive, try Ignorance.
  7. S

    Wanachuo wajazana ofisi za Bodi ya Mikopo Dodoma

    Hao wamefuata jela au masomo?? Hata siku ya kwanza tuu haijaisha wanapiga kelele, mmmh....
  8. S

    Hili la kuapisha Viongozi wa Serikali kibarazani nyumbani kwa Rais limekaaje?

    very well said bro. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    CCM mumeona nchi jirani wasemavyo kuhusu Rais Magufuli?

    Well said mkuu. Riziki ya mbwa iko miguuni kwake, na mtembea bure si sawa na mkaa bure. Somo litaeleweka tuu hata kama ni miaka mia ijayo!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    Chuo Kikuu cha Iringa na vitendo vya lecturers wa sheria

    Mwanangu Grade two kqpewa homework package ya mwezi mzima masomo yote, ww jitu zima university unacomplain. Sasa unataka mwez mzim uwe unafanya nn ww? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    Wizara ya Afya, mnawaachiaje watu wenye dalili ya Corona waendelee na shughuli zao?

    mkui, Jambo usilolijua ni sawa na uck wa giza. Kila mwenye mafua na homa wakiwekwa karanteen watawekwa wangapi?? There is nothing dangerous like the "fear of unknown". Cha msingi ni kuchukuwa tahadhari katika ngazi zote kuanzia ngazi ya familia. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

    Well said Prof, congrats. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    Ingependeza sana kama TISS angelipia ada, you never know labda alikuwa anapiga kote kote. R.I.P B!!
  14. S

    Gari ipi ni ni itanifaa kwa maoni yako?

    Aisee, kukata mzizi wa fitina NUNUA YOOTE mkuu
Back
Top Bottom