Cardiac arrest ni matokeo ya mwisho, nyuma yake huwa kuna mambo mengi including infection e.g Malaria, yaweza kuwa high blood pressure, Diabetes, etc. There is no need to continue debating on the cause of death. Mtu akipata Severe malaria anaweza kupoteza maisha within.short time.
Kwa kifupi ni kuwa kila jinabla mtia nia lilikuwa na Ndiyo au Hapana. So kwenye jina la Nyalandu wajumbe wote wali tick Ndiyo (28 out of 28 =100%; Jina la Lissu, wajumbe 24 waliweka Ndiyo, wanne Hapana, n.k
Mkuu jiongeze baas, buku 2 tu zinakutoa mimacho wakati ni beer moja tuu, we vipi mbona uko karne ya nyuma saana. If you think Education is Expensive, try Ignorance.
Well said mkuu. Riziki ya mbwa iko miguuni kwake, na mtembea bure si sawa na mkaa bure. Somo litaeleweka tuu hata kama ni miaka mia ijayo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu Grade two kqpewa homework package ya mwezi mzima masomo yote, ww jitu zima university unacomplain. Sasa unataka mwez mzim uwe unafanya nn ww?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkui, Jambo usilolijua ni sawa na uck wa giza. Kila mwenye mafua na homa wakiwekwa karanteen watawekwa wangapi?? There is nothing dangerous like the "fear of unknown". Cha msingi ni kuchukuwa tahadhari katika ngazi zote kuanzia ngazi ya familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.