Recent content by siara

  1. S

    Viongozi wakuu wa UKAWA watazungumza na waandishi wa habari jioni hii Colosseum Hotel

    Watatoka salama maana mabadiliko yanyotarajiwa kutokea nchi hii ni makusudi ya Mungu.......Wakishindwa kuafikiana tunawapigia kura sisi wanachama wenyewe kama walivyofanya NARC Kenya na kumsimamisha Raila Odinga mwaka 2007.
  2. S

    Kafulila afunguka kuhusu Zitto na ESCROW

    Ahsante....Tatizo Zitto anapenda kujikweza sana, kwanini adhani kila kitu kitampa sifa? kuna zingine zinamchoresha. Hakuna ubishi kwamba anachojitamba nacho ni nafasi aliyokua nayo ambayo impa mamlaka ya kusoma ripoti za PAC hata kama hajaziandaa yeye au hajazifanyia yeye uchunguzi.
  3. S

    Busara iliyotumiwa kwa Samuel Sitta, ndiyo itatumika kwa Edward Lowassa?.

    Ni mtazamo, lakini kumbuka kilichomgarimu Sitta ni kuonekana kukifanya chama kishambuliwe na upinzani kirahisi...yaani kukianika chama. Wengi sasa wanasema mtu pekee atakae wasumbua wapinzani na kukipa CCM ushindi kwa urahisi ni Lowassa. Nadhani hili halina pingamizi na sioni mfanano wowote wa...
  4. S

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Pamoja na harakati tunazozifanya za kuwa na katiba mpya itakayohuisha matumaini ya watanzania lakini kumbe hata katiba ya chama changu cha CHADEMA kina katiba ya hovyo. Haki ya kuifikia mahakama (access to court right) ni haki ya muhimu inayopaswa kuheshimiwa na kila taasisi na watu wake...
  5. S

    Chuo Kikuu DSM watoa Ripoti Mbio za Urais 2015 "Mwigulu anaongoza"

    Repoti ya hovyo kutoka kwa watu hovyo wanaolamba soksi za wanasiasa.
  6. S

    Kura za maoni Katiba Mpya: Tumelizwa!

    Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha, serikali imeamua kuendelea na utamaduni wake wa kupuuza na kutojali sheria zilizotungwa na bunge. Katika moja ya makala yangu, nimewahi kuandika "Sheria za nchi zimeganda" nikiwa na maana kwamba, mbali na uwepo wa sheria katika nchi yetu lakini...
  7. S

    Wenje na Heche washikiliwa na polisi

    Magesa sasa ni tatizo kwa Amani ya taifa letu......kila vurugu arusha kwanamna moja au nyingine alikuwa chanzo, kahamishiwa mwanxa anaendeleza desturi. Siku tukiamua tunaondoka na kichwa!!!
  8. S

    Sheria za nchi yetu zimeganda??

    Tumesoma na kusikia kupitia vyanzo mbalimbali kwamba, nchi yoyote iliyoiva na kukomaa kidemokrasia utawala wake huwa ni wa sheria. Pia tunafahamu kwamba utawala wa sheria huzaa utawala bora katika nchi yoyote ile. Hivyo basi nawiwa kusema ‘Utawala bora ni ule utawala wenye kuheshimu na...
  9. S

    BAWACHA wawasha moto Munduli

    Hakikisheni hawaponi maani, wametunyonya sana
  10. S

    Vijana wa sasa na mapinduzi

    Nimekua nikiwaza juu ya msimamo wa vijana wa leo na mageuzi yanayohitajika katika nchi yetu. Vijana wa zamani yaani kina Julius K Nyerere,Zuberi, Kawawa, Malcom X, Che Gue, Nkurumah na wengineo waliowahi kufanya mageuzi ya kweli katika wakati wao,msimamo ndio ilikuwa silaha kuu ya...
  11. S

    Maajabu ya ccm mtaa wa migombani

    Si kila mtu amepewa macho ya kuona na masikiria ya kusikia yawezekana una macho lakini huoni. Masikio lakini husikii
  12. S

    Maajabu ya ccm mtaa wa migombani

    Si kila mtu amepewa macho ya kuona, yawezekana una macho lakini huoni.
  13. S

    Maajabu ya ccm mtaa wa migombani

    Hivi ndivyo vitendo nilivoviita ubaramaka na umalaya wa siasa kwenye moja ya makala yangu. Mwenye mamlaka ya kutengua matokeo ni mkurugenzi kama msimamizi mkuu wa uchaguzi na si watoto wa mabaali Mnapaswa kuomba msaada wa kisheria makao makuu ya chama haraka iwezekanvyo.Najua kuna wanasheria...
  14. S

    Nani anawafarakanisha watanzania kwa misingi ya kidini?

    Tunapaswa kuwaambia na hata ikiwezekana sote kwa pamoja tuwachukulie hatua
Back
Top Bottom