Maajabu ya ccm mtaa wa migombani

Maajabu ya ccm mtaa wa migombani

Huyu jamaa wa NCCR alitoka CCM akataka kugombea kama ukawa tukamtosa, sasa hivi yuko pamoja na CCM kutaka uchaguzi urudiwe kienyeji.

Hilo limuruki na usishangae ameishavuta chake kwa lengo la kuunganisha kura zake kiduchu na miccm yake.

Wakisumbua piga kura ya wazi......panga mstari wazijue mbichi na mbivu. Zaidi wakisumbua walazimishe kufikiri....huku kwetu kuna diwani mlewa madaraka anasumbua kama hao watoto wa mafisadi......ila...
 
Katika uchaguzi uliopita wa serikali ya mtaa katika mtaa wa migombani kata ya segerea Matokeo ni kama ifuatavyo CHADEMA nafasi ya mwenyekiti ilipata kura 547 na CCM ilipata kura 215 na NCCR ilipata kura 205. Uchaguzi wa wajumbe haukufanyika kutokana na kasoro mbali mbali katika karatasi za wagombea ujumbe hivyo ukarudiwa tarehe 21 na Matokeo ni kwamba Wajumbe wa chadema walishinda kwa kura 410- hadi 390 huku wale wa ccm wakipata kura 20-60 mara zote za uchaguzi, ccm waligoma kusign karatasi za Matokeo . Mara baada ya kumaliza uchaguzi ameibuka mtoto wa makongoro Maanga na Masaburi wanatangaza kuwa uchaguzi utarudiwa bila sababu yoyote na mkuu wa mkoa katangaza kurudia uchaguzi siku ya hotoba ya jk na wazee wake. Wanaojua sheria tunaomba mtusaidie ni halali kurudia uchaguzi baada ya kutangazwa ushindi kwa muda wa wiki mbili? Ni nani anyeweza kutengua Matokeo kisheria baada kutangazwa kisheria? Nimeambatanisha karatasi za Matokeo yote

Maajabu Hayo Yako Pia Karukekere.Bunda
 
Katika uchaguzi uliopita wa serikali ya mtaa katika mtaa wa migombani kata ya segerea Matokeo ni kama ifuatavyo CHADEMA nafasi ya mwenyekiti ilipata kura 547 na CCM ilipata kura 215 na NCCR ilipata kura 205. Uchaguzi wa wajumbe haukufanyika kutokana na kasoro mbali mbali katika karatasi za wagombea ujumbe hivyo ukarudiwa tarehe 21 na Matokeo ni kwamba Wajumbe wa chadema walishinda kwa kura 410- hadi 390 huku wale wa ccm wakipata kura 20-60 mara zote za uchaguzi, ccm waligoma kusign karatasi za Matokeo . Mara baada ya kumaliza uchaguzi ameibuka mtoto wa makongoro Maanga na Masaburi wanatangaza kuwa uchaguzi utarudiwa bila sababu yoyote na mkuu wa mkoa katangaza kurudia uchaguzi siku ya hotoba ya jk na wazee wake. Wanaojua sheria tunaomba mtusaidie ni halali kurudia uchaguzi baada ya kutangazwa ushindi kwa muda wa wiki mbili? Ni nani anyeweza kutengua Matokeo kisheria baada kutangazwa kisheria? Nimeambatanisha karatasi za Matokeo yote

Hata uchaguzi ukirudiwa hao maesrow watakiona cha moto.
watajua tu hilo genge lao la majizi halina nafasi tena.
wanapoteza mda wao tu. Wait and see
 
attachment.php
 
Haya umeyatoa wapi mbona wengine hatuyasikii wala kuyaona?
 
Katika uchaguzi uliopita wa serikali ya mtaa katika mtaa wa migombani kata ya segerea Matokeo ni kama ifuatavyo CHADEMA nafasi ya mwenyekiti ilipata kura 547 na CCM ilipata kura 215 na NCCR ilipata kura 205. Uchaguzi wa wajumbe haukufanyika kutokana na kasoro mbali mbali katika karatasi za wagombea ujumbe hivyo ukarudiwa tarehe 21 na Matokeo ni kwamba Wajumbe wa chadema walishinda kwa kura 410- hadi 390 huku wale wa ccm wakipata kura 20-60 mara zote za uchaguzi, ccm waligoma kusign karatasi za Matokeo . Mara baada ya kumaliza uchaguzi ameibuka mtoto wa makongoro Maanga na Masaburi wanatangaza kuwa uchaguzi utarudiwa bila sababu yoyote na mkuu wa mkoa katangaza kurudia uchaguzi siku ya hotoba ya jk na wazee wake. Wanaojua sheria tunaomba mtusaidie ni halali kurudia uchaguzi baada ya kutangazwa ushindi kwa muda wa wiki mbili? Ni nani anyeweza kutengua Matokeo kisheria baada kutangazwa kisheria? Nimeambatanisha karatasi za Matokeo yote

Wao watakuwa na viongozi wao ambao sio halali na hamtawasikiliza kwa ushahidi mlionao, nanyi mtakuwa na wa kwenu ambao ni halali na mtafanyanao kazi.
 
Katika uchaguzi uliopita wa serikali ya mtaa katika mtaa wa migombani kata ya segerea Matokeo ni kama ifuatavyo CHADEMA nafasi ya mwenyekiti ilipata kura 547 na CCM ilipata kura 215 na NCCR ilipata kura 205. Uchaguzi wa wajumbe haukufanyika kutokana na kasoro mbali mbali katika karatasi za wagombea ujumbe hivyo ukarudiwa tarehe 21 na Matokeo ni kwamba Wajumbe wa chadema walishinda kwa kura 410- hadi 390 huku wale wa ccm wakipata kura 20-60 mara zote za uchaguzi, ccm waligoma kusign karatasi za Matokeo . Mara baada ya kumaliza uchaguzi ameibuka mtoto wa makongoro Maanga na Masaburi wanatangaza kuwa uchaguzi utarudiwa bila sababu yoyote na mkuu wa mkoa katangaza kurudia uchaguzi siku ya hotoba ya jk na wazee wake. Wanaojua sheria tunaomba mtusaidie ni halali kurudia uchaguzi baada ya kutangazwa ushindi kwa muda wa wiki mbili? Ni nani anyeweza kutengua Matokeo kisheria baada kutangazwa kisheria? Nimeambatanisha karatasi za Matokeo yote

Hivi ndivyo vitendo nilivoviita ubaramaka na umalaya wa siasa kwenye moja ya makala yangu.
Mwenye mamlaka ya kutengua matokeo ni mkurugenzi kama msimamizi mkuu wa uchaguzi na si watoto wa mabaali
Mnapaswa kuomba msaada wa kisheria makao makuu ya chama haraka iwezekanvyo.Najua kuna wanasheria wazuri ambao wangeweza kusaidia kama chama chenu nacho kitaacha upuuzi wa kuwekeza nguvu nyingi makao makuu na kusahau kwamba huku chini ndiko kuna wapiga kura
 
Historia ya mtaa wetu ilikua inampa Japhet nafasi kubwa ya kushinda. Yani Chadema hata wangeweka jiwe lingepita. Mwenyekiti aliyetoka (Binagi ambaye pia ni ndugu wa kina Mahanga na Masaburi) aliharibu sana, Mahanga ni mbunge jina tu hakubaliki, yupo kitaifa zaidi bunge kaligaya kisa uchaguzi uliopita watu walimpa Mpendazoe.

Ok basi ni wajibu wenu kukomaa huyo mgombea wa chadema asiporwe ushindi, wakifanikisha hilo leo basi mjue hata 2015 mtakuwa na hali ngumu kulinda msiporwe ushindi.
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza
 
Nataka kujua tu kwa nini Chadema na Nccr hawakushirikiana? Kumbe UKAWA ni maneno tu hakuna utekelezaji

Wew si ni wakusoma, kula, kulala bure!? Kua uyaone dada wewe bado kigoli
 
Back
Top Bottom