Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
- Thread starter
- #61
Mnyika we na ubungo tu hutoki kuwajoin wenzio
Chadema hatugawani hela tunagawana majukumu
Mnyika we na ubungo tu hutoki kuwajoin wenzio
Zimefika hizo nimuhimu sana
jimbo la monduli linahitaji ukombozi wananchi wake tuko chini ya intarahamwe
mtamua lowasa kwa presha
Leo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Monduli.
Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.
Updates nitaendelea kuwaletea mkutano ukianza
Hakikisheni hawaponi maani, wametunyonya sana
Hakikisheni hawaponi maani, wametunyonya sana
ukweli gani hapo au kwa sabab uvccm yako imekamatwa na kuzidiwa na uvccm.
Updates za pic za leoLeo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Monduli.
Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.
Updates
Walio zugumza leo jukwani ni Lema Natse Inno Bavicha Cecy Ndossi Patrobas. Wamezungumzia maswala mengi sana ikiwepo swala lavijana kujiandikisha, ufisadi wanaofanya ccm wa waziwazi, na kupiga kura namengine mengi
wamewanyonya kwani ni watoto?
Mbona CHADEMA mnaanza kampeini mapema kabla ya hamjaruhusiwa na Tume ya Uchaguzi (NEC)?!
Hizi ndiyo FUJO anazosema Nape Moses Nnauye!
Mbona kinana naye amenza kampeni nani kamruhusu?
Asante kamanda ukombozi umefika
Chadema hatugawani hela tunagawana majukumu
very critical answer, big up
ukombozi wa nchi gani?
Wa Tanganyika Na Tanzania huru yenye haki na usawa kwa wote