Recent content by Shy land

  1. Shy land

    Dalili moja ya mtu mshamba ni kujua kuongea 'kilugha'

    wanywana ebhe,,,,,! nyanoko, ebhe nyolo tombolloko ebhe
  2. Shy land

    CCBRT walivyotatua tatizo la mtoto wangu la mdomo sungura

    Mkuu kama sijakuelewa unaamanisha chazo cha tatzo hili ni mwanamke
  3. Shy land

    CCBRT walivyotatua tatizo la mtoto wangu la mdomo sungura

    hii ni kabla Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF. Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura. Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo...
  4. Shy land

    Unafikiri nini chanzo cha umaskini Afrika?

    chazo ni wewe
  5. Shy land

    Jenerali Muhoozi Kainerugaba ni dhahiri sasa amelewa madaraka. Ni kweli kwamba hajui madhara ya kauli aliyotoa kuhusu kuivamia Kenya?

    nakuomba uivaimie dar uwaue wanajeshì wetu ili na sisi wanume wa shoka tulioko mtaani tupate ajira, mtaan panatisha
  6. Shy land

    Kuna kiongozi alidai eti tutamkumbuka, nani amkumbuke?

    ukitaka kuchukiwa na jamii kubwa ya wanaichi wa tz mseme vibaya jpm. huyu mwamba watanzania aslimia 89% tulimuelewa sana
  7. Shy land

    Kwanini mabasi ya Tanga yana vyoo na ya Kigoma hayana vyoo

    unajua umuhimu wa boji ya binadamu kwenye mapori yetu, dar to tanga kuna pori wapi. tomboloko ebhe
  8. Shy land

    Africa, here we come…!

    mwamshaga mhola bhangoshaa
  9. Shy land

    Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

    wasomi ni watu wa aina gani? yaweza kuwa mm siwajui
  10. Shy land

    Hatimaye baada ya miezi 8 nimepokea Tsh 46000 kutoka Sagapoll

    hizo ni kazi za wana dar es salaam sisi huku kwetu tunawaza mambo mengine kabsa kuhusu kusaka noti
  11. Shy land

    Zitto alalamika kundi la Magufuli ndani ya CCM kuihujumu maridhiano na kuinyima ACT mbunge EALA

    kwa sasa Zitto hana lolote alijualo. ni msaka tonge kama mm ninavyowangilia nyanya zangu bustanini
  12. Shy land

    Huko Mbinguni tutaonana na Mungu uso kwa uso au atakuwa bado anajificha?

    hukuna Mungu .bali kuna masava tu. wasukuma watanielewa
  13. Shy land

    Watanzania 33,000 wanakufa kila mwaka kwa Moshi wa Kupikia

    Mna bahati nzuri sana muliozaliwa katika familia za kishua, kuni kwangu na ukoo wetu ndio kila kitu. Kama na wewe unayaelewa maisha ya kuni tujuane
  14. Shy land

    Ubikira Wangu

    kama ni kweli, umeolewa na mtu wa kibamia, ukithubutu hata dakika moja unipatie mimi shy land kutoka usukumani shinyanga, naamini utakuwa mugawaji sana maana utatumia nguvu kubwa kumpata shy land mwingine, na kumpata hutompata:-[ au nikuulize una mtoto, kama hauna siku yakujifungua ndio itakuwa...
Back
Top Bottom