Recent content by shumbimadelu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

    Ni kweli bro ila mungu yupo atanipigania
  2. S

    JamiiForums Tanzania Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

    Jamaa alikuwa rafiki yangu sana.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

    Hi wanajamvi, leo nakuja mbele yenu kuwaeleza hiki kitu. Nakumbuka mwaka 2010 nikiwa nafanya masters chuo kikuu cha dsm kulikuwa na afisa mmoja wa tra wilaya ya kongwa ndugu STANLEY NYAMBOGA. Huyu kijana alikuwa ni kijana machachari na alikuwa na msimamo mkali asiyependa yumbishwa. Nilibahatika...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Je polisi hamna mbinu nyingine za kutuliza ghasia?

    Ni kweli mzee hawa vijana wengi wanavuta bangi. Hapa kwetu hakuna RPC.Mwaka jana kuna askari mmoja alijiua sababu ya kugombea matofali ya kuchoma na mwanamke mmoja cha kusikitisha ni jinsi alivyojiua. Huyu jamaa hakuwa lindo wala hakuwa kazini siko hiyo ila alienda kituoni na kuchukua silaha...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Je polisi hamna mbinu nyingine za kutuliza ghasia?

    Yap hiko ndio kitu kinachonishangaza. Haiwezekani kitu kidogo tu kutumia nguvu nyingi pasipo akili. Mi bado najiuliza kulikuwa na umuhimu gani wa kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kwenye kivurugu cha watu ishirini?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Je polisi hamna mbinu nyingine za kutuliza ghasia?

    Inasikitisha sana suala dogo tu la vurugu za kishabiki wanapga mabomu ya machozi na risasi za moto?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Chama cha soka mpanda kinaua huu mchezo hapa Wilayani.

    Ndugu wadmau wa michezo,mi ni mdau mkubwa wa mpira wa miguu na nimecheza na kuishi sehemu mbalimbali hapa nchini tanzania. Kuna kitu cha ajabu nilichokikuta na kinachoendelea hapa wilayani kwetu. Chama cha soka hapa wilayani kwetu na mkoani kwa jumla kimekuwa mstari wa mbele kuua mchezo huu...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Chama cha soka mpanda kinaua huu mchezo hapa Wilayani.

    Ndugu wadmau wa michezo,mi ni mdau mkubwa wa mpira wa miguu na nimecheza na kuishi sehemu mbalimbali hapa nchini tanzania. Kuna kitu cha ajabu nilichokikuta na kinachoendelea hapa wilayani kwetu. Chama cha soka hapa wilayani kwetu na mkoani kwa jumla kimekuwa mstari wa mbele kuua mchezo huu...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Je polisi hamna mbinu nyingine za kutuliza ghasia?

    Ndugu wanajamvi nauliza hivi baada ya tukio lililotokea hapa mpanda mjini jioni hii. Leo kulkuwa na pambano la mpira wa miguu kati ya POLISI KATAVI na KAWAJENSE ambapo polisi walishinda 1 bila goli la upendeleo kikatokea kiugomvi kidogo sasa cha kushangaa polisi wakaanza piga risasi za moto na...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Nisamehe mzee wangu Arfi na wote niliowakwaza.

    Ndugu zangu wanajamvi, leo najitokeza mbele yenu kwa ajili ya kumuomba radhi mzee wetu,mbunge wetu na makamu mwenyekiti wa cdm taifa. Pamoja na wanajamvi na wana bdm wote niliowakwaza kwa namna moja au nyingine kwa thread niliyoiandika. Ndugu wanajamvi wiki 1 iliyopita niliandika hapa jamvini...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Natangaza kugombea Urais

    Yap kama napelile mwandosya patel na kimwana kipya kilichoingia shonza. Nasikia wanakigombea na shumbi madelu gulo
  12. S

    JamiiForums Tanzania Matokeo kidato cha 4 yaua tena!

    Alitaka afaulu bila kusoma? Ndugu zangu hususani wakubwa wenzangu. Nadhani mnajua hakuna kazi ngumu kama kusoma. Ukiwa mwanafunzi inahitaji sana commitment na kusoma vitu vingine vyote unaviweka pembeni na kupiga shule kama tulivyokuwa tunafanya. Sasa hawa watoto wetu wa siku hizi...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Natangaza kugombea Urais

    Umesahau kazi moja.Kujurusha manight club ya nje pia kuwa na nyumba ndogo nyingi nyingi kama rahisi wetu.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ustaadhi ilunga kaingia mitini!...

    Pia siku hizi hata zile hutuba zake hazipatikani you tube sijui zimetolewa.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa CHADEMA MPANDA...MH MBOWE kuhutubia mkutano mkubwa leo!!!!

    Nilikuona na laptop yako nyekundu uki tu updates
Back
Top Bottom