The country of dreamless.If this idea is make religional doctrine it is good to allow all religions to build their own courts.Otherwise we will know the worst trick of our leaders.Do not take us down!
Ni vizuri tujue wao wanalipwa sh ngapi kwani wao ni akina mungu? Wote ni wanadamu tofauti ni kazi mbona wao wanajua mishahara yetu na vipato vyetu alafu wakishajua wanatukadiria
Mi sijui wanataka kuipeleka wapi nchi hii.Uhuru wa vyombo vya habari kubanwa kiasi hiki ni kumnyima mtanzania haki ya kupata habari za ndani ya nchi yake.Hata hivyo ni kumfanya mtanzania kupoteza hamu ya kusikiliza media za ndani au kusoma magazeti ya kitanzania kwani atajua fika hakuna habari...
Tunaona kimya kabisa hadi leo hivi hamjui kuwa tunaumia sisi wa hali ya chini.?
Nini kinaendelea huko serikalini au ninyi viongozi mnanunua wapi mahitaji yenu?
Maduka yamefungwa mfululizo siku tano sasa.aah jamani nchi hii vipi enyi wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.