Recent content by shukrani sikaonga

  1. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

    Arafu tunaambiwa kuwa MUNGU yupo. Sawa basi tufanye yupo ila tuambiwe wote ni kitu gani unatumia kujua kuwa huyu ndio MUNGU. Forexample:. Hakuna aliyewahi kuiona baridi wala hatujui ina rangi gani ila ngozi inauwezo wa kuhisi na ukajua kuwa eneo ulilopo linabaridi au hakuna baridi. Sasa kujua...
  2. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Wakristo na Waislamu ni watu waliopotea njia hasa kwa Afrika, kiufupi hawajielewi

    Sorry mkuu. Kwann tusipate group hata kwanjia ya whatsapp ili tupate ujuzi zaidi KUHUSU hizi habari? Maana apa kunawatu wataacha kuleta hoja za nguvu bali watakuona kama vile wewe ni shetani wakati kitu unachokiipongelea kiko sawa kabisa
  3. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Namna nilivyotajirika kwa kuiba majeneza makaburini!

    Lazima lile jeneza la yule marehemu tajiri Mkashauriana na jamaako rasi mumuuwe tajiri mwingine ili muuze jeneza kwa awamu nyingine Dah! Kweli inataka moyo
  4. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Niko Tayari kumsaidia figo yangu Joseph Haule (Profesa Jay)

    [emoji117]Ushauri wangu Kabla hujatoa figo ya msaada nenda kwanza zimbabwe ukaache kidole[emoji3097] upate miela iyo kisha rudi bongo kutoa figo
  5. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Jina halisi la LUCKY DUBE

    Nashukuru sana kijani1 1 apo nimeelewe tena kwa uzuri kabisa. Ila deejey nasmile yeye anawaza mziki tu maana kanijibu shortcut adi sio pw [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila nasmile nakubali sana nyimbo zako brother KEEP IT UP [emoji123][emoji123]
  6. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Jina halisi la LUCKY DUBE

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alikuwa muimbaji wa reggae kwa Sasa ni marehemu nataka kulijua jina lake halisi. Nisaidie kama unajua mkurungwa
  7. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Jina halisi la LUCKY DUBE

    Habari ya kazi wakuu? Samahani wakurungwa nisaidieni jina halisi la LUCKY DUBE.
  8. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Kanuni za soka ambazo huzijui!

    Ivi nikweli mpira wa kulushwa hauna offside [emoji3480]
  9. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Simulizi : Salamu kutoka kuzimu

    Dah
  10. shukrani sikaonga

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wananchi walipe gharama halisi ya kuunganishiwa umeme

    Samahani ndugu gharama ya kawaida ni shingapi???
Back
Top Bottom