We fugwe nawe ulitafutiwa kazi nini mana hao wanna haki lakini kuna waliowazidi vigezo sana na wameachwa hat a Mimi peasant am competent bt hata sidhan kama hata bahasha ilifunguliwa
Sikiliza kaka muombe muumba wako awe kiongozi wa maisha yako yesu pekee ndiye aliejitoa kwa ajili ya watu Wewe ukijitoa utakuwa umemkosoa Mungu kwa upendo wa kumtoa mwanae Wewe Fanya juhudi wawe na maisha bora
Tunashukuru mtoa mada sasa ni kukazana kuomba milango ya baraka iendelelee kufunguka ili tukifanikiwa tukapate kuyapractise na tunawaombea waliopo wapate kuyaangalia kwa kina. asante mtoa mada upate kujawa na furaha ya moyo.
Kwel demba mi nimependezwa na comment yako na ninapenda sna nikiongea na mpnz wangu nimuulze yuko wap anafanya nin na anaendeleaje hata mi nkiulzwa hayo ninajiwa na wazo kuwa ktka mawazo yake ya ck nina aslimia zangu pale bg up Demba
Elewa kijana kichwa kijitume kufikiri ubongo unase unayoambiwa mke wa mtu sumu. kama ni glfrnd wako ungeshkilia mcmamo wako kutokuoa mpaka aachike kwa mumewe. kaka hv mama na baba yako wangekaa wakaacha kuwalea wakarudiana na maboy/glfriend zao we ungesalimika ama ungekuwa mtoto wa mtaan. tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.