Looo!Mungu akupe hitaji lolote la moyo wako!sikutegemea jf kukawa na watu wanaojitambua ktk kweli ya Mungu kama wewe!aisee!!hii akili wengi hawana,wao wanaangalia ya duniani tu,hawaelewi kuwa kuoa,kuolewa na mambo mwngine mengi,ni ya mpito!!ni kweli,mlokole yuko radhi aidhi upweke...
Sikia ndugu yangu,kwanza usiogope,nenda s/m kafanye kazi!kwani Kule hakuna kazi ya kuumiza kichwa kama sec,ni kuhamisha material tu!!halafu kumbuka kila ashushwaye na mwanadamu,hupandishwa na Mungu!huyo ni binadamu tu,anaekuwazia mabaya,,Bali Mungu huku wa za Mimi na mema Siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.