Hii million 10 inayotajwa sio idadi ya wasanii, ccm wana derive equation ya kuiba kura. Watatokea wasanii wasiozidi 100 wataunga mkono katiba pendekezwa, Kwa kuwa waDanganyika tulishaambiwa wako mil 10, wakija iba kura utasikia wasanii wote walipiga kura ya NDIO, ila kiukweli siwezi poteza muda...
Hii kitu ni spiritual attacks. Na inatesa vijana wengi sana.(wa kiume/ kike) in short inaharibu system nzima ya maisha yako. Ukiwa mwanafunzi halafu ukawa msahaulifu kuna kufaulu tena, hauwezi ukakaa na kufikiri jambo la maana hata kidogo.
Kwa kuwa ni spiritual attack(mapepo, Kwa hali ya kawaida...
Usipende kuamini kila unachoambiwa, binafsi nilipita Addis Ababa Ethiopia, vyoo vilikuwa katika hali nzuri , labda siku wenzagu walipopita haikuwa hivo kutokana na uhaba wa maji. Ethiopia wana uwanja mzuri sana, kama ni kero mbona hata hapa bongo upo, yaan hadi Leo mtanzania unarudi nchini una...
Kutoa mkanda wa waliolipua hakuendi kienyeji kama unadhani na wala haiko hivo, na usitegemee CDM kutoa huo mkanda kutokana na pressure yoyote, watautoa muda wanaojua wao ni sahihi. Walisema wanaweza kutoa video hiyo kama itaundwa tume huru ya kimahakama. Serikali haikuunda tume huru ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.