Uko sahihi kampuni zake hizi hapa
Here’s a detailed overview of Rostam Aziz’s major business ventures in Tanzania, based on the most recent available information:
Key Companies and Investments
1. Telecommunications
Vodacom Tanzania
Aziz held around 35% of Vodacom Tanzania via Cavalry...
Ufinyu wa exposure ni kitu hatari
Huo mgodi ulikuwa wa kampuni binafsi Ikausajili kwenye soko la hisa Uingereza
Rostam kanunua hisa kwenye soko la hisa uingereza
Sasa akulipe kodi wewe mtanzania kama nani? Kama kodi ni kulipa uingereza sio Tanzania alikonunua
Wenyewe wanaosoma wanajua watakako zipeleka hizo digrii za Insurance na Risk management
Pilpili shamba wewe.mleta mada kinakuwasha nini? Ada za kwao vichwa vya kwao
Sio kweli kuna walinzi wa nje na ndani
Raisi akienda kupumzika ndani walinzi wa nje wa msafara huenda kupumzika wakisubiri msafara kesho wao ni wa msafara tu akienda kulala wako washika zamu sio hao wa msafara
Kadanganye wajinga wenzio
Huyo aliyedondoka vetting mbovu hakustahili huyo
Mara ya pili hiyo mlinzi wa Raisi anadondoka
Mara ya kwanza alikuwa yule mwanamke mlinzi wa Raisi anayekaa nyuma yake nusura amwangukie Raisi akihutubia
Angemwangusha Raisi Raisi lazima angeumia kwa kudondoka sakafuni na podium yake
Raisi anapumzika kipindi hiki cha Kampeni? Huyo hana uwezo waliomuweka hawakutimiza wajibu kufanya vetting vizuri
Wanaacha waliokakamaa wanachukua mi bogus legelege
Ulinzi ni sawa na kuwa vitani ukipumzika ukiwa zamu adui anakuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.