Mtu akikaa nje ya nchi upeo unapanuka kidogo, unaona jinsi Africa kiongozi kachaguliwa na wananchi halafu anakuja kujikuta mungu mtu aabudiwe na wananchi waliompa kiti. Sasa nadhani CCM wanaonja pain waliyokuwa wanawapa upinzani pia in other way. Tena afadhali yao hawalali huko rumande nakuwa...
Ubinafsi mkubwa wa waafrika ndounaotuweka hapa tulipo. Kukishakuwa na usawa sikuzote vita hakuna. Hakuna usawa nchi hii kwakuwa rasilimali zinaelekea upande mmoja na kuacha upande mwingine mtupu Kabisa watu masikini wakiteseka. Hizo fedha zanyongeza zinazolipwa zikusanywe zikazibe gap za...
Na hii ndosolution no. One katika hatma ya nchi hii. Vijana wanauana kushinda Kwa waganga kupata chance za siasa kwakua ni mapesa. Zishushwe daraja na kuwa kazi ya kawaida Kabisa ili ifisishe hio dhana. Na Si tuu siasa posho zote nchini zisizo na tija zifutwe kazi ziwe level yenye gap dogo...
Ikiingia serikali makini madarakani nikufuta Kabisa au kuondoa hizo posho zote za vikao. Vikao viwe sehemu ya kazi maana ndivo ilivo. Kumlipa mtu posho ya vikao siku hiohio alipwe na mshahara wa siku ni double payment. Nchi hii sio masikini kivile hakuna ugawanywaji sawa kufikia jamii nzima...
Minadhani Hawa watabiri sijui nabii hawaji tu from no where, Kuna system ipo nyuma yao inafikisha ujumbe Kwa jamii Kwa style ya unabii utabiri. Ikitokea huyo kiongozi kafa kweli labda Kuna revenge inaandaliwa ndo Hilo balaa la Dar es salaam. Mawazo yangu.
Kabisa ndugu, Nyerere alitengeneza mifumo kutokana na wakati uliokuwepo kuweka nchi kuwa na umoja nakuvuka vizingiti vya nyakati hizo. Sasa nijukumu letu kuchukua alipoishia na kutengeneza mifumo mipya kulingana na wakati huu wetu sisi. Sasa kuanza kumlaumu mzee miaka sijui mingapi ilopita...
Kwahio "target market" hapo ni mjerumani zaidi! au mzungu....So asipojisikia kuja bongo je? Mhindi au muarabu atatoka kwao huko aje kuona sehemu mjerumani alikua anapumzika na kunywa kahawa anapata view ya bahari? Lol useless.
Biashara ya utalii inategemea sana "word of mouth" hivo unaweza kupanda juu dakika na kushuka vivo hivo. Ndomana binafsi sioni sababu ya kuwekeza Kwa nguvu kubwa eneo hili. Unaweza kujibrand Kwa mamilioni halafu mtu mmoja anakuja na strategy yakukuchafua biashara yote inadorora. Kama ilivokuwa...
Minadhani pia watalii huwa wanaenda sehemu waliyotarget regardless marketing etc. Yani sehemu wenye mahusiano yenye maslahi. Ukiwa karibu nao wanawapa code na wenzao inakuwa kama target. Ndomana binafsi naona kama sekta ya utalii ni kama game tu. Hivo sioni sababu kutumia nguvu kubwa kuwekeza...
Exactly, kama tu Kilimanjaro na maajabu yake, sijui....mbuga za wanyama etc hazijafurikisha watalii Tanzania nidhahiri utalii sio wakutegemea kivile kuinua nchi.
Kuna haja sana tukaanza kujifunza namna yakujitegemea. Kwanzia dawa tunazoagiza nje na mbegu/ mbolea ambazo hivi ndovinagusa maisha yetu Moja Kwa moja. Tusipoamka Sasa nidhahiri Africa hatuna future. Kama jinsi wao wanawafunza watoto wao na vijana Toka chini namna yakutunyonya, nasisi tuanze...
Hatujuagi kutafuta chanzo Cha tatizo hata siku Moja, ndomana Africa tupo hapa hapa mpaka leo. Tunatakiwa kuchimbua makaburi yote na kukusanya data zatulipotoka tupate mwanga na mwelekeo wa tunapokwenda. Lazivo turaendelea kuburuzwa hapa hapa.
Ungepelekwa tu sehemu zenye uhitaki mkubwa wa chakula kama Ethiopia, Madagascar na kwingine. Sasa bongo Michele yote hii na maharage Kila Kona kweli? Ama kunalingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.