Waafrika na watu weusi tulivolaaniwa, mpaka tukawa slave......yani ukisema watumwa Dunia mzima inangalia au kutambua mtu mweusi ujue. Ndomana popote duniani ukienda hata kama ni best performer mtu mweusi lazima upuuzwe....kwanini? Tuna shida kubwa ubinafsi na roho mbaya zaidi Kwa watu wetu au...
Ila mi naona Kwa upepo wa Dunia unavoelekea JWTZ wapo sahihi Kabisa. Kuna list nimeona huko mbali ikionyesha namna WW3 ikitokea nchi chache za Africa ambazo zipo ktk hatari ya kuwa ktk risk, Tanzania ipo listed hata kama sio uhakika. Tukubaliane tunahitaji serikali imara sana kipindi hiki dunia...
Wanaosema Nyerere alifeli na ujamaa watusaidie kuanalyse miaka alioongoza Nyerere wakati tumeachwa watupu na wakoloni, kuanzia 0. Halafu miaka tulioidhi kwenye ubepari tangu Mwinyi anachukua nchi mpaka leo...hio gap miaka na mafanikio. Ukiangalia hata viwanda na taasisi nyingi zilianzishwa...
Tell us more about this please! Hakika Kwa jinsi vifo vya haraka haraka vilivoongezeka nidhahiri majira yamebadilika. Lango la kuzimu lipo wazi na watu wanatumia kujinufaisha binafsi nakuangamiza wengine. Je! Nikwanamna Gani raia wakawaida watajilinda?
Wewe ndohujaelewa, hii vita imegeuka opportunity Kwa Israel, kwakua Sasa hawataweza kukaa nao tena hivo itabidi wahamishwe...au la watauliwa zaidi Kwa kiasi ambacho, itaamuliwa kuhama. Hapo ndipo Israel inaenda kujenga empire yake kama zilivokua Ndoto zako.
Unakuta mtu anatenda uovu anamaisha mazuri kuliko mtu mwema. Unajiuliza Mungu ametuumba ili atutese sisi wengine au? Kila bahati mbaya inakufata tu haijalishi juhudi unazoeka.
Kwamba alikua kahaba alafu akawa ndio binadamu wa kwanza kuuona ufufuko wa Yesu kweli? Yani ukristo umebebwa na muujiza wa kufa na kufufuka Kwa Yesu , ambapo alipofufuka tu alimtokea Magdalena....Sasa jiulize who is she? Yani hakuanzana mamake, Wala ndugu yake etc why Magdalena?
Mkuu, Sasa huyu Jini akimuua huyo mtu (binadamu) anampeleka wapi? Maana ktk mafundisho ya dini nyingi yanasema Mungu pekee ndie mwenyeuwezo wakutoa roho ya binadamu au kuua.
Kwakweli😂😂nimecheka sana, ukute Koo yangu ni mizimuni huko halafu naenda kushinda Kwa walokole usiku na mchana na mapambio, vita haziishi...kumbe natakiwa nirudi nyumbani kesi iishe.
Mtu akikaa nje ya nchi upeo unapanuka kidogo, unaona jinsi Africa kiongozi kachaguliwa na wananchi halafu anakuja kujikuta mungu mtu aabudiwe na wananchi waliompa kiti. Sasa nadhani CCM wanaonja pain waliyokuwa wanawapa upinzani pia in other way. Tena afadhali yao hawalali huko rumande nakuwa...
Ubinafsi mkubwa wa waafrika ndounaotuweka hapa tulipo. Kukishakuwa na usawa sikuzote vita hakuna. Hakuna usawa nchi hii kwakuwa rasilimali zinaelekea upande mmoja na kuacha upande mwingine mtupu Kabisa watu masikini wakiteseka. Hizo fedha zanyongeza zinazolipwa zikusanywe zikazibe gap za...
Na hii ndosolution no. One katika hatma ya nchi hii. Vijana wanauana kushinda Kwa waganga kupata chance za siasa kwakua ni mapesa. Zishushwe daraja na kuwa kazi ya kawaida Kabisa ili ifisishe hio dhana. Na Si tuu siasa posho zote nchini zisizo na tija zifutwe kazi ziwe level yenye gap dogo...
Ikiingia serikali makini madarakani nikufuta Kabisa au kuondoa hizo posho zote za vikao. Vikao viwe sehemu ya kazi maana ndivo ilivo. Kumlipa mtu posho ya vikao siku hiohio alipwe na mshahara wa siku ni double payment. Nchi hii sio masikini kivile hakuna ugawanywaji sawa kufikia jamii nzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.