Recent content by shoswede

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ukipita kwenye Page ya Mange Instagram ndio utaona ni kwa namna gani Tz inatafunwa

    Waafrika na watu weusi tulivolaaniwa, mpaka tukawa slave......yani ukisema watumwa Dunia mzima inangalia au kutambua mtu mweusi ujue. Ndomana popote duniani ukienda hata kama ni best performer mtu mweusi lazima upuuzwe....kwanini? Tuna shida kubwa ubinafsi na roho mbaya zaidi Kwa watu wetu au...
  2. S

    JamiiForums Tanzania JWTZ wasiingilie Siasa zetu. Ni kweli, Nchi inawayawaya kama machela

    Ila mi naona Kwa upepo wa Dunia unavoelekea JWTZ wapo sahihi Kabisa. Kuna list nimeona huko mbali ikionyesha namna WW3 ikitokea nchi chache za Africa ambazo zipo ktk hatari ya kuwa ktk risk, Tanzania ipo listed hata kama sio uhakika. Tukubaliane tunahitaji serikali imara sana kipindi hiki dunia...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya sasa ni ile aliyoiona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

    Wanaosema Nyerere alifeli na ujamaa watusaidie kuanalyse miaka alioongoza Nyerere wakati tumeachwa watupu na wakoloni, kuanzia 0. Halafu miaka tulioidhi kwenye ubepari tangu Mwinyi anachukua nchi mpaka leo...hio gap miaka na mafanikio. Ukiangalia hata viwanda na taasisi nyingi zilianzishwa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wengi hawajui siri zilizopo ndani ya vitabu hivi vya dini, yaani Biblia, Quran na Tanakh

    Tell us more about this please! Hakika Kwa jinsi vifo vya haraka haraka vilivoongezeka nidhahiri majira yamebadilika. Lango la kuzimu lipo wazi na watu wanatumia kujinufaisha binafsi nakuangamiza wengine. Je! Nikwanamna Gani raia wakawaida watajilinda?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Marekani na Israel wamejitwisha mzigo ambao sasa unawaelemea. Mgongoni hawataki ubaki na kuutua hawawezi

    Wewe ndohujaelewa, hii vita imegeuka opportunity Kwa Israel, kwakua Sasa hawataweza kukaa nao tena hivo itabidi wahamishwe...au la watauliwa zaidi Kwa kiasi ambacho, itaamuliwa kuhama. Hapo ndipo Israel inaenda kujenga empire yake kama zilivokua Ndoto zako.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Licha ya Maisha kukosa furaha kwa binadamu ; kwa nini watu bado wanapambana kuzaliana (kuongeza watu wengine)

    Unakuta mtu anatenda uovu anamaisha mazuri kuliko mtu mwema. Unajiuliza Mungu ametuumba ili atutese sisi wengine au? Kila bahati mbaya inakufata tu haijalishi juhudi unazoeka.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Uchawi Tanzania

    Hakika umeona maono ya mbali, kwakua Kuna watu walikua wamekufa nakuzikwa, Sasa wanaonekana hai kigoma, geita tumeshuhudia matukio haya hivi karibuni.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kama kijana mdogo angekuja kuniuliza kuwa ni mhusika gani kwenye Biblia awe role model wake, mimi ningemchagulia mhusika huyu

    Kwamba alikua kahaba alafu akawa ndio binadamu wa kwanza kuuona ufufuko wa Yesu kweli? Yani ukristo umebebwa na muujiza wa kufa na kufufuka Kwa Yesu , ambapo alipofufuka tu alimtokea Magdalena....Sasa jiulize who is she? Yani hakuanzana mamake, Wala ndugu yake etc why Magdalena?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

    Mkuu, Sasa huyu Jini akimuua huyo mtu (binadamu) anampeleka wapi? Maana ktk mafundisho ya dini nyingi yanasema Mungu pekee ndie mwenyeuwezo wakutoa roho ya binadamu au kuua.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu mizimu

    Kwakweli😂😂nimecheka sana, ukute Koo yangu ni mizimuni huko halafu naenda kushinda Kwa walokole usiku na mchana na mapambio, vita haziishi...kumbe natakiwa nirudi nyumbani kesi iishe.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

    Kabisa, Bora chama kifie mikononi salama kuliko kukikabidhi Kwa wasaliti.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Mtu akikaa nje ya nchi upeo unapanuka kidogo, unaona jinsi Africa kiongozi kachaguliwa na wananchi halafu anakuja kujikuta mungu mtu aabudiwe na wananchi waliompa kiti. Sasa nadhani CCM wanaonja pain waliyokuwa wanawapa upinzani pia in other way. Tena afadhali yao hawalali huko rumande nakuwa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

    Ubinafsi mkubwa wa waafrika ndounaotuweka hapa tulipo. Kukishakuwa na usawa sikuzote vita hakuna. Hakuna usawa nchi hii kwakuwa rasilimali zinaelekea upande mmoja na kuacha upande mwingine mtupu Kabisa watu masikini wakiteseka. Hizo fedha zanyongeza zinazolipwa zikusanywe zikazibe gap za...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

    Na hii ndosolution no. One katika hatma ya nchi hii. Vijana wanauana kushinda Kwa waganga kupata chance za siasa kwakua ni mapesa. Zishushwe daraja na kuwa kazi ya kawaida Kabisa ili ifisishe hio dhana. Na Si tuu siasa posho zote nchini zisizo na tija zifutwe kazi ziwe level yenye gap dogo...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

    Ikiingia serikali makini madarakani nikufuta Kabisa au kuondoa hizo posho zote za vikao. Vikao viwe sehemu ya kazi maana ndivo ilivo. Kumlipa mtu posho ya vikao siku hiohio alipwe na mshahara wa siku ni double payment. Nchi hii sio masikini kivile hakuna ugawanywaji sawa kufikia jamii nzima...
Back
Top Bottom