Nashukuru kwa michango, kwa kifupi sana; nilioa na kuzaa nikiwa aishi naye huyo mama, cheti cha kuzaliwa kiko sawa na ninacho mwenyewe, kulikuwa na fununu za mke wangu huyo kutembea na baba yake mzazi (wachaga), sikushuhudia kwa macho lakini ilifikia sehemu nikaamini hilo. Baadaye nikaamua...
asante kwa ushauri, lkn damu ya mtu si ya kuchezea. Hata kama silipia ada, kikwetu huwa wanaitwa kwa ubini wa mjomba au baba kizaa mama. Ila ushauri nimzuri, nitaufanyia kazi.
Ndugu zangu naomba msaada wa kisheria nina mtoto wangu kabadilishwa jina na kupewa la baba wa kufikia, nikiongea na mama yake anasema kwakuwa silipi ada ya mtoto (12yrs) na huyo bwana analipa ndo maana ikawa hivyo.
Naomba msaada wa kisheria uu ya hilinianzie wapi, ilinisaidiwe.
Asanteni
Wana jamvi, naomba kujua jinsi ya kufanya ili niweze kuona u-tube video, natumia wifi network ya kampuni lakini hamebana kuona youtube na kudownload. Tafadhari saidieni wataalamu.
Wana jamvi, naomba kujua jinsi ya kufanya ili niweze kuona youtube video, natumia wifi network ya kampuni lakini hamebana kuona youtube na kudownload. Tafadhari saidieni wataalamu.
Ndugu zangu niko Africa magharibi nchini Mali, nimeshangazwa na aina ya vitunguu vya huku ambavyo haviwashi, havina harufu kali na ni vikubwa, nawaza kuchukua mbegu kuleta tz. kwa wataalamu tafadhari nijulisheni kama aina hii ya mbegu ipo hata bongo. saidieni tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.