Recent content by shortlisted1

  1. shortlisted1

    ISIS wamkata kichwa Muingereza mwengine

    Wanamgambo wa ISLAMIC STATE wametoa video inayoonyesha muingereza Allan Hanning akikatwa kichwa. Na bwana huyo alipopewa mda wa kuzungumza kabla ya kunyofolewa kichwa chake alionekana kulilaume Bunge la Uingereza kwa kuamua kushirikiana na Marekani kuwapiga mabomu ISLAMIC STATE. Na kama...
  2. shortlisted1

    Kiongozi wa Boko Haram aliyedaiwa kafa, Abubakar Shekau, kumbe bado yupo hai

    SHEKAU ni kichwa kingine kile.....mtateseka sana....!!!
  3. shortlisted1

    Aadhibiwa kwa kusujudu uwanjani

    Hii imetokea huko amerca kwenye mchezo wa american football. Mchezaji huyo muislamu alishangilia kwa kusujudu baada ya kufunga bao kwenye mchezo huo. Tukio hili limeacha sintofahumu kubwa kwa mashabiki wa mchezo huu kwani kabla ya tukio hilo wapo watu walishangilia kwa ishara za...
  4. shortlisted1

    Hivi wajumbe wakristo kwenye bunge la katiba wameenda mahususi kupinga fikra za waislam??

    acha kufikiria na MATTER-KO wewe....hakuna chombo cha sheria kinaweza kujiendensha bila ya kitu kinachoitwa Law enforcement lazima kuwe na usimamiaji. Kinachotakiwa ni kwamba jambo likishaamuliwa na kadhi basi lazima kuwe na nguvu ya kipolsi kwa ajili ya kufanya utekelezaji wake kwa...
  5. shortlisted1

    Wanamgambo ISIS wakaribia lango la Baghdad, waua askari 1,000

    Nilishapata kusema humu kwenye vita hii dunia itashuhudai maajabu makubwa sana...!!!
  6. shortlisted1

    Islamic state(is) wachoma na kuangamiza mabunda ya sigara

    Iran ni taifa la kiislamu ila kumbuka IRANI NI MASHIA na ISIS NI MASUNNI.
  7. shortlisted1

    Islamic state(is) wachoma na kuangamiza mabunda ya sigara

    shukrani sana kaka nilikuwa mbali na hizo picha nikashinwa kuziweka.
  8. shortlisted1

    Islamic state(is) wachoma na kuangamiza mabunda ya sigara

    Unajua kitu gani wanachofanyiwa wafungwa wa kule GUANTANAMO BAY tena wengine huwa hawana hata hatia...kwani wale huwa wana silaha mbona huwa wanafanyiwa mambo ya kutisha au kwa sababu huwa hayaonyeshwi na bbc au cnn. Tuiteje na huo kwamba ni uoga au.
  9. shortlisted1

    Islamic state(is) wachoma na kuangamiza mabunda ya sigara

    hamna taifa la kiislamu linaweza kupingana na ISIS. Acha kuwa na akili za kushikiwa tofautisha taifa la Kiislamu na Taifa la Kiarabu. Shangaa kidogo hapo mpaka America anaenda kuomba msaada...!!
  10. shortlisted1

    Islamic state(is) wachoma na kuangamiza mabunda ya sigara

    Makomandoo wa taifa jipya la KIISLAMU wameonekana katika picha mbalimbali wakiangamizi mabunda mengi sana ya sigara kwa kuyachoma moto, wamefanya kwa kuzingatia kwamba waislamu hawatakiwi kuvuta sigara kwani sigara ni haramu na uharamu wa sigara ni kwa kuwa sigara huwa inadhuru afya ya mvutaji...
  11. shortlisted1

    URGENT: ISIS evacuates its Mosul headquarters in fear of American air strikes

    Hiyo ni habari nzuri sana kijana...utasikia na kujionea maajabu mengi kwenye vita hiyo. Halafu kama unafuatilia mambo vizuri mataifa yote yanayounga mkono hiyo vita dhidi ya ISLAMIC STATE wanajiunga kwa jeshi la anga tu....kwa nini wanaogopa kwenda kupambana vita vya chini...?
  12. shortlisted1

    Naomba msaada, TCU profile inaonesha sikufanya application

    hiyo ndio habari ya mjini TCU kinyume na hapo majanga...!!!
  13. shortlisted1

    Naomba kueleweshwa 'Software Engineering' inahusu nini?

    acha kuleta siasa kwenye hivyo vitu dogo.....ukienda huko kimbwembwe utaishia kuwa na mbwembwe tu...hivyo vitu havitaki siasa wala utozi COMPUTER PROGRAMMER NDIO BABA LAO ni kuandika codes tu ndio mpango mzima....huko kwenye software engineering mambo mengine huwa ni theory tu za hapa na pale...
  14. shortlisted1

    Tukio la Bukombe ni ugaidi au ujambazi? Polisi tupeni tafsiri ya ugaidi na ujambazi

    sheikh ponda nae kupigwa risasi ni tukio la aina gani..?
  15. shortlisted1

    Tukio la Bukombe ni ugaidi au ujambazi? Polisi tupeni tafsiri ya ugaidi na ujambazi

    Angalia hapa tukio la kigaidi kwanza ni lazima lifanywe na MUISLAMU, pili tukio hili lazima liwe limefanyika maeneo ya waislamu mfano Tanga, Zanzibar, Mtwara nk. Kinyume chake tukio hilo linakuwa la ujambazi. hapa ndipo nchi yetu ilipofikishwa na WAMGHARIBI tena bila hata kujijua.
Back
Top Bottom