Im a mining engineer. I have experience on supervising quarry and crushers, with proven records in elevating production. Can we discuss further?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, kwa wanaojua au wenye uelewa wa hawa wanajiita job agency, tafadhari tujuze. Kuna wanaokwambia after contract unampa kiasi flani cha pesa. Kwa mfano niliwahi kuambiwa kutoa 500usd.
Waliokutana na hii tupeane ujuzi na experience hapa. Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya mkataba wa mwisho kuisha, nimesimama, ananiambia nisubiri, this week ameniambia anaandaa job description. Hiyo ni PLC
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante HR kwa ufafanuzi mzuri. Nina swali kidogo kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi, nilianza kama internship, mkataba nilikuwa napewa miezi mitatu mitatu. Boss wangu ananiambia nisubiri yupo kuandaa job description? Je, taratibu zipoje kutransform kuwa FTE?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.